Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,231
Leo ni siku ambayo alizaliwa Kamanda Mdude Nyangali ( Mdude Chadema ) , mtu ambaye kama Wananchi wasingepiga kelele wakisaidiwa na Wazungu ( Mabeberu ) ikiwa ni pamoja na mabalozi wa nchi mbalimbali za ulaya na Marekani hivi leo angeadhimisha Birthday yake kaburini au ndani ya kiroba .
Binafsi namtakia heri kubwa sana mdogo wangu Mdude na namwambia ana deni kubwa sana kutoka kwa watu waliopigania Uhai wake na ni lazima deni hilo alipe