Happy Birthday kamanda mbowe

Happy Birthday kamanda mbowe

HBD kamanda mungu akupe maisha marefu na asikubadilishe msimamo wako wa kuwatetea na kuwasemea wanyonge ambao hatuna sauti,hongera mzee wa anga na chadema
 
Mods tunaomba muipeleke hii kwenye Jukwaa la JF chit chat au jukwaa la jokes.
 
Mods tunaomba muipeleke hii kwenye Jukwaa la JF chit chat au jukwaa la jokes.

matola nini tena?
Ni kweli kuwa Mbowe alizaliwa 9 Disemba 1961, sasa inakuwaje uzi upelekwe jukwaa la jokes?
 
Huyu kamanda mbowe ndo anatimiza miaka 50 leo, na kulingana na historia ya tanzania. Tanzania haijawahi kupata uhuru na bado inatawaliwa na wakoloni ndugu zetu weusi. Nchi iliyopata uhuru na ni Tanganyika na zanzibar kila moja na miaka yake. Kwa sasa hatunae Tanganyika aliuwawa na tuliye nae ni Zanzibar, wanasheria wanalijuia hili fika ila ni waoga kulizungumzia. Na kwa mantiki hiyo natumia fursa hii, kuishauri serikali iache kuwapotosha Wadanganyika kwamba wanasherekea miaka 50 ya uhuru, wa Tanzania. Chadema sherekeeni miaka 50 ya kuzaliwa kwa kiongozi wenu wa Taifa Hon. Freeman Aikael Mbowe. Nami pia natumia fursa hii kumtakia Happy Birthday Hon. Freeman Mbowe, kwa kutimiza miaka 50 leo. Mungu akujalie maisha marefu, baraka na mafanikio wewe na familia yako.
 
Mi nimeshangaa nikadhani sababu nie ni mgeni sijajua fomula

happy birthday mbowe

matola nini tena?
Ni kweli kuwa Mbowe alizaliwa 9 Disemba 1961, sasa inakuwaje uzi upelekwe jukwaa la jokes?
 
Jamani leo ni siku ambayo na shindwa kuidadamvua, jana nilienda msibani kumzika veterani na mfanyakazi wa TRA na rafiki yangu wa karibu. Madesho huko upareni mamba ugweno. Hivyo nikachelewa kurudi mjini moshi kwa ajili ya shughuli zangu za ki' bank, sikukumbuka kwamba leo hazitafunguliwa duh! Nahofia biashara zangu kukwama leo kutokana na kukosa pesa za kuwalipa wateja wangu, hili adhimisho limesha kuwa nuksi kwangu, biashara zangu za fedha leo zitakwama kwa kukosa pesa za kuwalipa wateja. Miaka 50 ya majuto na kingwendu kwangu.
 
Mbowe yaelekea hajui miaka yake. atakuwa among wale wazee wanaosemaga wamezaliwa siku ya uhuru!!
 
Mbowe yaelekea hajui miaka yake. atakuwa among wale wazee wanaosemaga wamezaliwa siku ya uhuru!!
siku baba yake alipokua anakabidhiwa uhuru na Mwingereza huku nyuma mama yake alipatwa na uchungu akamzaa mwana FREEMAN lakini kwa bahati mbaya ilibidi majina ya mwisho wamuite AIKAEL MBOWE jina la mume wa mama yk ili ishu isishtukiwe. HAPPY BIRTHDAY KAMANDA FREEMAN J.K
 
siku baba yake alipokua anakabidhiwa uhuru na Mwingereza huku nyuma mama yake alipatwa na uchungu akamzaa mwana FREEMAN lakini kwa bahati mbaya ilibidi majina ya mwisho wamuite AIKAEL MBOWE jina la mume wa mama yk ili ishu isishtukiwe. HAPPY BIRTHDAY KAMANDA FREEMAN J.K

Sijakuelewa ulitaka kusema nini!!
Yaani Mh. Mbowe na Nyerere ni mtu na m......!!!!
 
Sijakuelewa ulitaka kusema nini!!
Yaani Mh. Mbowe na Nyerere ni mtu na m......!!!!
Hii habari nimeisikia sana, kwamba JK original alikuwa akienda machame, mzee Mbowe katika kumkiimu alikuwa anamuachia mmoja wa wake zake ili amkirimu kwa usiku usika, sasa hapa ndipo linapokuja swala la Mbowe kufanana sana na Makongoro, lakini hili kwa mtu wa Umri wangu kulizungumzia ni majungu tu, labda wale wachaga wenyewe wa Machame waliokuwa karibu wakati huo ndio wanaweza kukanusha au kuthibitisha uvumi huu.
Tukiendekeza majungu ipo siku tutasema Sister P ni Mtoto wa Remmy.
 
Hii habari nimeisikia sana, kwamba JK original alikuwa akienda machame, mzee Mbowe katika kumkiimu alikuwa anamuachia mmoja wa wake zake ili amkirimu kwa usiku usika, sasa hapa ndipo linapokuja swala la Mbowe kufanana sana na Makongoro, lakini hili kwa mtu wa Umri wangu kulizungumzia ni majungu tu, labda wale wachaga wenyewe wa Machame waliokuwa karibu wakati huo ndio wanaweza kukanusha au kuthibitisha uvumi huu.
Tukiendekeza majungu ipo siku tutasema Sister P ni Mtoto wa Remmy.

Sasa mbona umeishamwaga majungu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom