Mods tunaomba muipeleke hii kwenye Jukwaa la JF chit chat au jukwaa la jokes.
matola nini tena?
Ni kweli kuwa Mbowe alizaliwa 9 Disemba 1961, sasa inakuwaje uzi upelekwe jukwaa la jokes?
siku baba yake alipokua anakabidhiwa uhuru na Mwingereza huku nyuma mama yake alipatwa na uchungu akamzaa mwana FREEMAN lakini kwa bahati mbaya ilibidi majina ya mwisho wamuite AIKAEL MBOWE jina la mume wa mama yk ili ishu isishtukiwe. HAPPY BIRTHDAY KAMANDA FREEMAN J.KMbowe yaelekea hajui miaka yake. atakuwa among wale wazee wanaosemaga wamezaliwa siku ya uhuru!!
siku baba yake alipokua anakabidhiwa uhuru na Mwingereza huku nyuma mama yake alipatwa na uchungu akamzaa mwana FREEMAN lakini kwa bahati mbaya ilibidi majina ya mwisho wamuite AIKAEL MBOWE jina la mume wa mama yk ili ishu isishtukiwe. HAPPY BIRTHDAY KAMANDA FREEMAN J.K
Hii habari nimeisikia sana, kwamba JK original alikuwa akienda machame, mzee Mbowe katika kumkiimu alikuwa anamuachia mmoja wa wake zake ili amkirimu kwa usiku usika, sasa hapa ndipo linapokuja swala la Mbowe kufanana sana na Makongoro, lakini hili kwa mtu wa Umri wangu kulizungumzia ni majungu tu, labda wale wachaga wenyewe wa Machame waliokuwa karibu wakati huo ndio wanaweza kukanusha au kuthibitisha uvumi huu.Sijakuelewa ulitaka kusema nini!!
Yaani Mh. Mbowe na Nyerere ni mtu na m......!!!!
Hii habari nimeisikia sana, kwamba JK original alikuwa akienda machame, mzee Mbowe katika kumkiimu alikuwa anamuachia mmoja wa wake zake ili amkirimu kwa usiku usika, sasa hapa ndipo linapokuja swala la Mbowe kufanana sana na Makongoro, lakini hili kwa mtu wa Umri wangu kulizungumzia ni majungu tu, labda wale wachaga wenyewe wa Machame waliokuwa karibu wakati huo ndio wanaweza kukanusha au kuthibitisha uvumi huu.
Tukiendekeza majungu ipo siku tutasema Sister P ni Mtoto wa Remmy.
Hizo ni tetesi,.........Sasa mbona umeishamwaga majungu!
Mods tunaomba muipeleke hii kwenye Jukwaa la JF chit chat au jukwaa la jokes.