Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,406
- 78,555
hahahahaInashawishii
hahahahaInashawishii
Usijali mdogo wangu nikupendae......keki yako bado ipo inakusubiriiiiiHappy Belated Birthday mdogo wangu mzuri jamani.. Pole nimechelewa kuiona hii sijui nitanuniwa??
Enwei, more blessings and more life to you Hazard CFC
Kumbe na mimi nimezaliwaHBD 2 him
Hii kumbe nilikuwa nakupendaga hivii mdogo wangu..!!?Happy Belated Birthday mdogo wangu mzuri jamani.. Pole nimechelewa kuiona hii sijui nitanuniwa??
Enwei, more blessings and more life to you Hazard CFC ❤❤
Kwahyo upendo kwa sasa umekwisha dada???Hii kumbe nilikuwa nakupendaga hivii mdogo wangu..!!?
MwenyekitiBaharia!
Hapana, hauwezi kwisha kamwe ila siuelewi maana umenisusa mpaka ni dhambi..!!Kwahyo upendo kwa sasa umekwisha dada???
Kwangu bado upo pale pale
Kitambo sana lolKumbe na mimi nimezaliwa
Halafu tumesusana baada ya wewe kusogea karibu.... kutakua na kauchawi sio bureee aiseeHapana, hauwezi kwisha kamwe ila siuelewi maana umenisusa mpaka ni dhambi..!!
Hahahaha mkuu mimi nimeacha pombe siku hizi...nadili na nyagi tuHuyu jamaa najua muda huu atakuwa anachakata beer....hata sijui kama anakumbuka ana besidei
Hahaha,Hahahaha mkuu mimi nimeacha pombe siku hizi...nadili na nyagi tu
Halafu kwanini k vant hazileweshi nowdays?