Happy birthday Halima J.Mdee

Happy birthday Halima J.Mdee

Nampenda sana kamanda mama H mdee Mungu,akujalie mtoto wa kurithi kazi yako
 
Tarehe kama ya leo mwaka 1978 alizaliwa Mbunge wa Kawe-CHADEMA, Mh. Halima Mdee. Halima Mdee ni kati ya mifano ya wanasiasa wa kike wa kitanzania kutokea upinzani aliyethubutu na kugombea Ubunge wa Jimbo na kuachana na ule wa Viti Maalum.


Kuongezeka kwa miaka kunaendana na kuongezeka kwa maarifa,nguvu na hekima. Hongera Halima Mdee kwa siku yako ya kuzaliwa huku ukiendelea kuwatumikia wananchi wako wa Kawe na Taifa kwa ujumla.

Kuna rijamaa rimenichekesha sana rinasema eti siku ya kuzaliwa au birthday sio siku ya kuifurahia kwa sababu ni siku ya kimaskini. Ni siku ambayo mtu huja duniani akiwa uchi, maskini, mlemavu wa ambaye hawezi kutembea, kusema, kula, kuzungumza, kufikiri, n.k.
 
Tarehe kama ya leo mwaka 1978 alizaliwa Mbunge wa Kawe-CHADEMA, Mh. Halima Mdee. Halima Mdee ni kati ya mifano ya wanasiasa wa kike wa kitanzania kutokea upinzani aliyethubutu na kugombea Ubunge wa Jimbo na kuachana na ule wa Viti Maalum.


Kuongezeka kwa miaka kunaendana na kuongezeka kwa maarifa,nguvu na hekima. Hongera Halima Mdee kwa siku yako ya kuzaliwa huku ukiendelea kuwatumikia wananchi wako wa Kawe na Taifa kwa ujumla.

Kuna rijamaa rimenichekesha sana rinasema eti siku ya kuzaliwa au birthday sio siku ya kuifurahia kwa sababu ni siku ya kimaskini. Ni siku ambayo mtu huja duniani akiwa uchi, maskini, mlemavu wa ambaye hawezi kutembea, kusema, kula, kuzungumza, kufikiri, n.k.
 
Back
Top Bottom