Happy birthday Halima J.Mdee

Happy birthday Halima J.Mdee

1426590193169.jpg Happy birthday kamandaaa popote ulipo Mungu akufanyie wepesi katika kazi zako zote Amina.
 
1978 to 2015... 37 years, jaman vijana tafuteni wenza kwa miaka hiyo bila ndoa sio vizuri!!!!

happy birthday kamanda

Ni wapi katika vitabu vitakatifu Biblia au Quruan pameandikwa asiyeolewa au kuowa hataurithi ufalme wa mbinguni au kuiona pepo?
 
1978 to 2015... 37 years, jaman vijana tafuteni wenza kwa miaka hiyo bila ndoa sio vizuri!!!!

happy birthday kamanda

Nami naunga mkono wazo lako. Ni wakati sasa atafute mwenza kwani kwa mwanamke bado miaka michache sana itashindikana kumpata mtoto. Vinginevyo atafute rafiki anaemwamini azae nae hata watoto wawili. Vinginevyo mambo mengine kama ya kisiasa anafanya vizuri sana na imani ya wananchi bado ni kubwa sana kwake. HAPPY BIRTHDAY MAMY.
 
happy birthday mdee nakumbuka ulipokuja kigogo mkwajun kuhutubia ulisaidia sana kubadilisha mtazamo wa wakazi wa kigogo mkwajun,kweli hotuba zenu wanaukawa zimeisadia kuimwaga ccm.
 
Tarehe kama ya leo mwaka 1978 alizaliwa Mbunge wa Kawe-CHADEMA, Mh. Halima Mdee. Halima Mdee ni kati ya mifano ya wanasiasa wa kike wa kitanzania kutokea upinzani aliyethubutu na kugombea Ubunge wa Jimbo na kuachana na ule wa Viti Maalum.


Kuongezeka kwa miaka kunaendana na kuongezeka kwa maarifa,nguvu na hekima. Hongera Halima Mdee kwa siku yako ya kuzaliwa huku ukiendelea kuwatumikia wananchi wako wa Kawe na Taifa kwa ujumla.

Duuu kumbe kaenda age kiaina... Nway bado kijana.. Heri ya kuzaliwa kamanda wa makamanda..
 
Happy birthday Kamanda..

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Hongera Jembe Mungu akupe maisha marefu ya usiwe fisadi
 
Tarehe kama ya leo mwaka 1978 alizaliwa Mbunge wa Kawe-CHADEMA, Mh. Halima Mdee. Halima Mdee ni kati ya mifano ya wanasiasa wa kike wa kitanzania kutokea upinzani aliyethubutu na kugombea Ubunge wa Jimbo na kuachana na ule wa Viti Maalum.


Kuongezeka kwa miaka kunaendana na kuongezeka kwa maarifa,nguvu na hekima. Hongera Halima Mdee kwa siku yako ya kuzaliwa huku ukiendelea kuwatumikia wananchi wako wa Kawe na Taifa kwa ujumla.

Webale Nyabbo Halima Mdee nomukamakatonda akuwe obuwangaazi
 
Happy birthday kamanda Halima,

Sijawahi kujutia kupoteza siku2 za kulinda matokeo yako bila kulala na tena bila malipo yoyote.

Mungu akubariki na kukulinda.

Ntayalinda tena matoke ya ushindi wako October2015

Tutakuwa pamoja baada ya kumaliza kuhesabu za hapa segerea
 
Back
Top Bottom