Kumbe hata wewe MUSSA ALLAN unawakubali Halima Mdee na Ester Bulaya? Hongera ndugu
Vipi mkuu...UNataka kutotolesha?? SubiRi amalize kazi tuliyomtuma wa kawe!!!ok??hbd madame
Mkuu hizi ni taarifa za kweli kabisa.Ondoa shaka Mkuu Kilaza
1978 to 2015... 37 years, jaman vijana tafuteni wenza kwa miaka hiyo bila ndoa sio vizuri!!!!
happy birthday kamanda
1978 to 2015... 37 years, jaman vijana tafuteni wenza kwa miaka hiyo bila ndoa sio vizuri!!!!
happy birthday kamanda
Eeerr Ndiyo...'kwaNi una wasiwasi mayai atakuwa amekaaNgia chips!!?Sasa akimaliza hiyo mliyompa na mkimpa nyingine so tusubiri mpaka 42
Tarehe kama ya leo mwaka 1978 alizaliwa Mbunge wa Kawe-CHADEMA, Mh. Halima Mdee. Halima Mdee ni kati ya mifano ya wanasiasa wa kike wa kitanzania kutokea upinzani aliyethubutu na kugombea Ubunge wa Jimbo na kuachana na ule wa Viti Maalum.
Kuongezeka kwa miaka kunaendana na kuongezeka kwa maarifa,nguvu na hekima. Hongera Halima Mdee kwa siku yako ya kuzaliwa huku ukiendelea kuwatumikia wananchi wako wa Kawe na Taifa kwa ujumla.
Tarehe kama ya leo mwaka 1978 alizaliwa Mbunge wa Kawe-CHADEMA, Mh. Halima Mdee. Halima Mdee ni kati ya mifano ya wanasiasa wa kike wa kitanzania kutokea upinzani aliyethubutu na kugombea Ubunge wa Jimbo na kuachana na ule wa Viti Maalum.
Kuongezeka kwa miaka kunaendana na kuongezeka kwa maarifa,nguvu na hekima. Hongera Halima Mdee kwa siku yako ya kuzaliwa huku ukiendelea kuwatumikia wananchi wako wa Kawe na Taifa kwa ujumla.
Kwa jinsi ninavyomuamini,nimehamia Jimboni mwake na kuishi. Halima Mdee ni mwanamke wa shoka
Happy birthday kamanda Halima,
Sijawahi kujutia kupoteza siku2 za kulinda matokeo yako bila kulala na tena bila malipo yoyote.
Mungu akubariki na kukulinda.
Ntayalinda tena matoke ya ushindi wako October2015
Huwa namfananisha sana huyu na Esther Bulaya.
Nasikia wako pamoja ni kweli?
Hongera kwa kuwafananisha,umeyapata matokeo ya chaguzi ndogo kinyerezi?