Happy Birthday gorgeousmimi

Tunajulia fb. Ngoja ntakuanzishia uzi manake we ar friends kule

Duh!

Kumbe huko fesbuk tupo marafiki?

Nilikuwa hata sijui!!!!

Kwa hiyo huwa unanichora tu huko? Lakini hata hivyo nipo huko kijina tu maana huwa inapita hata miezi sijakanyaga.
 
Happy birthday shosti wangu kipenzi...

Mola akujaalie baraka tele katika maisha yako....shari zote zikuepuke biidhnillah en shaAllah.....
 

Attachments

  • 1400239530584.jpg
    8.2 KB · Views: 94
Pamoja sana mkuu. mia
 
Allah akupe baraka
Na afya iso mashaka
kwa neema na fanaka
Uzidi kuwakawaka

Akupe yalo ya kheri
Yakuepuke ya shari
Tuwe nawe kwa dahari
JF ng'aring'ari


Heri ya siku ya kuzaliwa #gorgeousmimi .

#farkhina , #mzizimkavu kule jikoni kwetu mmeandaa chochote kwa mtoto aliezaliwa leo?
 
Hilo naalifahamu. Lakini hizi wishes zmimezidi kuwa nyingi. Hivyo, ina maana watu nje ya hapa JF wana mahusiano ya dhati?

Wapo mkuu ila binafsi naona kuwa si jambo jema mambo yatokeayo nje ya JF kuyahusisha huku JF...

Mathalani kama unatambua leo ni siku ya kuadhimisha kuzaliwa kwa rafiki yako ni bora pongezi uzimalizie huko huko kuliko kuanzisha uzi huku...

Kama kila mtu akianzishiwa uzi wa wishes za besidei si ajabu kwa siku kukawa na nyuzi nyingi tu hapa ndani...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…