Happy Birthday gorgeousmimi

Happy Birthday gorgeousmimi

Waoooooo my dada, gorgeousmimi!Heri ya kuzaliwa,Mungu akujalie maisha marefu ya Furaha,Afya njema,Mafanikio na baraka tele kutoka kwa Mungu!

Sijui nikupikie chapati za kumimina(chapati maji ehee).?
 
Last edited by a moderator:
Heri ya kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa kwako gorgeousmimi!

Mungu akujalie maisha marefu yenye furaha,afya njema, fanaka na baraka tele.
 
Wana MMU habari,
Leo mwana MMU mwenzetu gorgeousmimi anasheherekea siku yake ya kuzaliwa ningependa kutumia jukwaa hili kumtakia kila la kheri katika siku yake hii ambapo amesogeza umri wake,Mwenyezimungu amjaalie kwa kila jema,ampe afya njema.
Happy Birthday gorgeousmimi
Shurkan Mkoroshokigoli kwa kuchukua fursa na wakati wako kuniazishia uzi huu,much appreciated 🙂i have to admit JF have gave me true friends who have a huge impact on my life,who are always there to support me wherever i am even though i am far from them!Two words of wisdom advice can make a change on someones life!Thnx for all members of JF who are here on this thread to celebrate this special day with me,ahsanteni kwa dua zenu na birthday wishes mlizonitakia! Long live Jamiiforums!nitakuwa si mwema wa fadhila kutokumshuru mungu kwa kunipa uhai,uzima,afya njema na kila neema kwenye maisha yangu,bila kumsahau mama gorgeousmimi kwa uchungu aloupata siku hii ya leo!Ahsante wapendwa wote
Vaislay tinna cute Eli79 miss neddy The Boss Himidini Ablessed BAK Kim nana Fixed Point Kennedy utafiti mwekundu KhantweEvelyn Salt Sandeni sungura1980 watu8 ICHANA Rogie Nokia83 Mtoto halali na hela figganigga!
 
Last edited by a moderator:
Shurkan Mkoroshokigoli kwa kuchukua fursa na wakati wako kuniazishia uzi huu,much appreciated 🙂i have to admit JF have gave me true friends who have a huge impact on my life,who are always there to support me wherever i am even though i am far from them!Two words of wisdom advice can make a change on someones life!Thnx for all members of JF who are here on this thread to celebrate this special day with me,ahsanteni kwa dua zenu na birthday wishes mlizonitakia! Long live Jamiiforums!nitakuwa si mwema wa fadhila kutokumshuru mungu kwa kunipa uhai,uzima,afya njema na kila neema kwenye maisha yangu,bila kumsahau mama gorgeousmimi kwa uchungu aloupata siku hii ya leo!Ahsante wapendwa wote
Vaislay tinna cute Eli79 miss neddy The Boss Himidini Ablessed BAK Kim nana Fixed Point Kennedy utafiti mwekundu KhantweEvelyn Salt Sandeni sungura1980 watu8 ICHANA Rogie Nokia83 Mtoto halali na hela figganigga!

ua welcome gorgeousmimi
 
Last edited by a moderator:
Shurkan Mkoroshokigoli kwa kuchukua fursa na wakati wako kuniazishia uzi huu,much appreciated 🙂i have to admit JF have gave me true friends who have a huge impact on my life,who are always there to support me wherever i am even though i am far from them!

Where is the party tonight?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom