Happy birthday Farkhina

Happy birthday Farkhina

Wow....nimeingia jf nakuta this big suprise

Habibty ahsante kwa kuni wish mie penda sana weye...

God bless you...kama nnavokuita one in a million katika watu ambao wananiweka happy nawe mmoja wao....u r amazing



Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Ahsante sungura1980

Hiyo chapati ya kumimina made in wapi? Au mimi49 ndio mwenye hiyo recipe lol

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Wewe mtoto farkhina umeushajua kuongea??!Watoto wa kizazi cha katiba mpya hawa!Happy birthday dada,Mungu akujalie baraka zake!

Mi ni wa bara(Tanganyika),huku twaziita hivo,za kumimina(kumbe eti ni chapati maji,za sukari au za chumvi,au za asali!)
 
Last edited by a moderator:
Wow....nimeingia jf nakuta this big suprise

Habibty ahsante kwa kuni wish mie penda sana weye...

God bless you...kama nnavokuita one in a million katika watu ambao wananiweka happy nawe mmoja wao....u r amazing



Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Love you too :busuYou deserve this honey and even more...Enjoy this special day 🙂
 
happy birthday dear!kumbe umezaliwa siku moja na mwanangu Andy!
 
Happy birthday my sister farkhina may God bless you and gives you more years.
 
Last edited by a moderator:
Happy Birthday farkhina!

Tunakutakia maisha mema na marefu. Mimi na mke wangu Lady doctor twakupongeza kwa kuzaliwa siku muhimu kama ya leo ya pasaka.
 
Last edited by a moderator:
Happy birthday farkhina mungu akubariki uwe na maisha marefu
 
Last edited by a moderator:
Wewe mtoto farkhina umeushajua kuongea??!Watoto wa kizazi cha katiba mpya hawa!Happy birthday dada,Mungu akujalie baraka zake!

Mi ni wa bara(Tanganyika),huku twaziita hivo,za kumimina(kumbe eti ni chapati maji,za sukari au za chumvi,au za asali!)

Hahahahaha umenisema weee ahsante chapati za maji mie nakula na asali ni nzuri sanaaa....

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom