Hata Dk. John Pombe Kali Magufuli naye leo ni siku yake ya kuzaliwa!
Kamanda! Amefikisha miaka mingapi?Mungu akupe maisha marefu zaidi, uweze kuwatumikia wana-CDM na taifa kwa ujumla.
65 years old. 1948-2013
Nasubiri kuona wishes za Chris kwa hisani ya watu wa Lumumba
Kamanda! Amefikisha miaka mingapi?
Hongera Rais mtarajiwa...!
Umri umekwenda ni kipindi sasa cha kustaafu na kulea wajukuu.
65! years old!
65 years old. 1948-2013
Hata Dk. John Pombe Kali Magufuli naye leo ni siku yake ya kuzaliwa!
Kamanda! Amefikisha miaka mingapi?
hbd babu slaa mungu akujalie maisha maref ila inakubidi siasa ustafu uwaachie wajukuu zako kina zito,myika, lema nawengine waendeleze harakati zako. Sasa hivi ni mda wako wa kupumzika na mchumba wako, na ubaki unawashauri vijana wa cdm
65 years old. 1948-2013
hapana bwana yule dr anayetaka vitalu vya gesi ana 75 years with 1 year twins,ila ndio walewale wa kanda ya kaskazini65 bado anaoa vigori kama jose dah wazee wa sikuhizi au anashindana na mengi