dikembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 1,645
- 1,439
Mmh si useme tu ukweli kwamba ume....
Sio sana lakini...
Mmh si useme tu ukweli kwamba ume....
Hahahah kumbe unaham ya kuoga haya ntakuja kukumwagia maji ya kutosha 🏇🏇🏇
haki zako zimesitishwa tangu siku umehamia kwa mchepuko na kwa sasa yabidi uzinunue kabisa na 'Valentina' atakupa bei yakeHahahaa...mkuu umeamua kuungana nao?? Hata lowasa akirudi CCM atapokelewa tu. Naomba mnipe haki ya kibinaadam
usinune ila majukumu mengi tu.... kiss you more
haki zako zimesitishwa tangu siku umehamia kwa mchepuko na kwa sasa yabidi uzinunue kabisa na 'Valentina' atakupa bei yake
Aandae tu za kutosha kununua fast jeit. Na hakuna mjadala kwahilo
Nilisahau hii really name yako...teh. Jiandae twende kwa party bebi angu
Valentina Mugizi,muke halali ya Mr Richard Mugizi