glass amo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,568
- 4,192
Ni miaka 21 Sasa ya legacy mmeiweka industry ya media Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla. Hakika mnastahili pongezi za kutosha. Sio Jambo la kitoto hata kidogo. Wengi walikuja wamepotea lakini wewe umebaki kinara na imara kila uchwao.
Hata leo wewe ni kinara đź’Ž
Hata leo wewe ni kinara đź’Ž