Happy Birthday Cacico

Happy Birthday Cacico

Happy birthday cacico..... Mungu akujalie uishi miaka 100 zaidi
 
Last edited by a moderator:
Shkamoo bibi...nitakuja soon kukuletea ugolo na kukuamkua. Salaam kwa babu Asprin

HAPPY BIRTHDAY cacico!
 
Last edited by a moderator:
Japo nimechelewa,
but happy birthday bi dada.
mwaJ bado sijanuna
nipo sawa kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Hii post imejirudia mara mbili baada ya kuwa napata error kila nikipost. Invisible naomba msaada wa kuiunganisha please.
 
Last edited by a moderator:
Tena napenda sana cake mwaya
kwa hilo siwezi kununu kabisa. Bujibuji sina hata hamu naye
kuna mahali alinichakachua kura zangu
ntalia naye mwanzo mwisho.

Bora usinune mwaya maana ukinuna kwa sababu yangu na huyo mumeo Bujibuji akajua ntakoma mie! Tumekubakizia kipande cha cake.
 
Last edited by a moderator:
Happy birthday my sweet heart cacico, Halafu wee mwaJ unaleta kimbelembele, we ukiwa nani? Mpambe nuksi au mwanga? Mamndenyi, pole wee, usijione una mikosi, chama tawala ana janaba ndio maana mambo yako hayaendi.
Dearest cacico, may this day bring you countless happiness and endless joy and live with peace and serenity! Happy Birthday cacico.
Birthday+cake40.JPG
@snowhite lete sahani umma na kisu tukate cake, usisahau kumwita na mdogo wako Zion Daughter. Mwita Maranya karibu japo nisingependa uje maana umenikera kwa kuhangaika na nyumba ndogo kila leo. Bujibuji rafiki yangu karibu sana tufurahi na cacico unaweza kumpitia Kongosho. Wifi yangu wa ukweli Smile usisahau kumletea rafiki yangu zawadi. Mtambuzi asante sana (unajua sababu ya mie kushukuru, lol!). Rafiki zangu wote karibuni najua cacico hatojali mie kumletea wageni wengi. Wote akina @FP, gfsonwin, Kaunga, ASHA Dii - wewe usisahau kuja na msiri Wangi Kaizer. Mamndenyi naona ulivyonuna, karibu bana mie na wewe? Erickb52 wapiti na wenzako. amu, Bint.com na wengine wote karibuni sana. Mie nipo na cacico hapa tunashereheka.
 
Last edited by a moderator:
Happy birthday my sweet heart cacico, Halafu wee mwaJ unaleta kimbelembele, we ukiwa nani? Mpambe nuksi au mwanga? Mamndenyi, pole wee, usijione una mikosi, chama tawala ana janaba ndio maana mambo yako hayaendi.

We Bujibuji ishia zako huko! Unanisema kuwa nina kiherehere mbona wewe kama kweli cacico ni sweetheart wako haujakumbuka kumfanyia party mpaka mie nikukaribishe? Kwanza tungu lini kawa sweetheart wako? Subiri nikusemee kwa babu Asprin.
 
Last edited by a moderator:
we bujibuji ishia zako huko! Unanisema kuwa nina kiherehere mbona wewe kama kweli cacico ni sweetheart wako haujakumbuka kumfanyia party mpaka mie nikukaribishe? Kwanza tungu lini kawa sweetheart wako? Subiri nikusemee kwa babu asprin.
wamakonde wanasema "alichokupa mungu, ni cha kumemena"
kwani Asprin akipewa anakula anamaliza? Kwa taarifa yako, tukuyu haina makombo
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom