Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,687
Kwa kweli love, na tupo hapa kwaajili hiyo na kuelimika na kuburudika ๐Cheka utanue mapafu kipenziii ๐!!
Kwa kweli love, na tupo hapa kwaajili hiyo na kuelimika na kuburudika ๐Cheka utanue mapafu kipenziii ๐!!
Muulize Tayukwa wakati wenzake wanatoa nyuzi za kufungukia wanaowafukuzia yeye alikuwa wapi? ๐๐๐๐๐Kabesaaa dear jf stress free zone!
Anashoia sana, yupo humu kama hayupo. Na akizuka ni kama hivi kama mzee wa Ini Oyaaaaa ๐๐๐๐๐๐๐๐๐! Tena sio mgeni nae wa muda humu sijui alikwama wapi hata!
Kwenye hizo picha Bantu Lady mwenyewe ndiyo yupi ๐๐Helloowww guyss!!!
Today a true queen was born and I take this chance to wish her a very sweet, happy , lovely ,enjoyable, and an ameizing birthday!
Mary God bless you and grant you many more years to celebrate!
Happy birthday Bantu Lady
View attachment 2662769View attachment 2662770
Ni mmoja wapo babuu!!Kwenye hizo picha Bantu Lady mwenyewe ndiyo yupi ๐๐
Shughuli za kilimo zinanifanya nipitwe na mengi huko Mjini
Happy belated birthday Mjukuu, Mungu akusaidie uishi miaka mingi hadi umpite Babu yako hapa Umri ๐คช
Asante Babu wa mchongo... Babu kijana anayependa uzee ๐๐๐๐ GrahamsKwenye hizo picha Bantu Lady mwenyewe ndiyo yupi ๐๐
Shughuli za kilimo zinanifanya nipitwe na mengi huko Mjini
Happy belated birthday Mjukuu, Mungu akusaidie uishi miaka mingi hadi umpite Babu yako hapa Umri ๐คช
Kweli Babu yenu nimekuza, yaani Bantu Lady mwaja juzi tu alikuwa na miaka 13 leo hii ametimiza miaka 15 ๐คNi mmoja wapo babuu!!
Kilimo ni uti wa mgongo bila kilimo sote tutakufa njaa!!
Vyote Anatumia babuu keki ilikua jana kasema Leo siku ya ๐พ๐พ๐พ๐พ๐พKweli Babu yenu nimekuza, yaani Bantu Lady mwaja juzi tu alikuwa na miaka 13 leo hii ametimiza miaka 15 ๐ค
Muulize kama meno yamemwota nimletee Korosho atafune, kama bado nimletee maziwa ya mbuzi anywe ๐คช
Nilivyomisi Wine sasa ๐ทVyote Anatumia babuu keki ilikua jana kasema Leo siku ya ๐พ๐พ๐พ๐พ๐พ
Haya Do the needful babuu ;
๐๐๐๐๐๐๐๐๐ Babu kama Babu ๐คธโโ๏ธ๐คธโโ๏ธ๐คธโโ๏ธ๐คธโโ๏ธ๐คธโโ๏ธ๐คธโโ๏ธ Tonnia Babu wa mchongo atuletee korosho. Nitazipitia kwako mamiiKweli Babu yenu nimekuza, yaani Bantu Lady mwaja juzi tu alikuwa na miaka 13 leo hii ametimiza miaka 15 ๐ค
Muulize kama meno yamemwota nimletee Korosho atafune, kama bado nimletee maziwa ya mbuzi anywe ๐คช
Weee mi hapana akuleteee wewee basdei gal mi ntakuja kudoea kwako!!๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ Babu kama Babu ๐คธโโ๏ธ๐คธโโ๏ธ๐คธโโ๏ธ๐คธโโ๏ธ๐คธโโ๏ธ๐คธโโ๏ธ Tonnia Babu wa mchongo atuletee korosho. Nitazipitia kwako mamii
Korosho zitakufikia za kutosha, ila uwe jirani na Mkwe wangu maana nazijua zile ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ Babu kama Babu ๐คธโโ๏ธ๐คธโโ๏ธ๐คธโโ๏ธ๐คธโโ๏ธ๐คธโโ๏ธ๐คธโโ๏ธ Tonnia Babu wa mchongo atuletee korosho. Nitazipitia kwako mamii
Hahahaha..............ngoja nimtumie kwa DHL ๐คZawadii anapokea mwenye basdei babuu!!