Amina mungu azidi kumpiganiaAsante. Muombee baraka za kiasi mkuu
Kwa msg hii wale wote ambao hawako kwenye mikono ya wazazi wanaoweza kutoka kuanzia saa 2uck na kuendelea tukutane Ramada. Keki itakatwa kuanzia saa 3uck.
Karibuni wote.
Sijambo bae. Mie nipo nimejaa teleVale hujambo maee siku nyingi sijakuona
Nistue kule nikwambie kituJamani af fursa kama hizi zinatokeaga nikiwa mkoani waiiiii..niwekeeni kipande nitakikuta J4 hahahh.
Aisee siku nyingi sistaa kimya sana mzm lakiniSijambo bae. Mie nipo nimejaa tele
Nistue kule nikwambie kitu
Abeeee!!
Haha...ni kama tulikuwa paradise eeeh. Birthday was not mine, but I felt like it was mine.hey all who were able to join us yesterday at RAMADA, on behalf of Stunter, i wish to express my sincere thanks to all who made it. It was short but nice.
again thanks all. Daby nahis ullienjoy sana jana. nilikuona tu ulivyokuwa unatabasamu nikagundua lile tego lako liliwasili maeneo japo hukunitonya ni yupi kati ya wale ulokuwa unatabasamu nao.
hope utanijuza leo.
Hilo tu wala usiwaze....vya gizani navyo vinamadhara yakeNasubiria shem. Tukikutana pale mahali uniambie bhana sitaweza kaa nacho muda mrefu
Kulia gizani sio kuzuri...kidogo show-off inatakiwaUnamaniisha?