snochet
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 1,407
- 1,110
Ninapenda kumshukuru Mungu for a special day like this to me,kwa kuwa na uzima na afya njema.28th November ambapo nimetimiza miaka (kadhaa).na mwaka huu,birthday imenikuta mbali na home so ningependa nisherekee na wanaJF wenzangu na kuwatambua kwa wale niwapendao humu.kwanza naomba niutambue uwepo wa dada yangu Mwali,nakupenda sana,you have made me an incredible character(out of JF),kaka wa mbali watu8 The Boss AshaDii pretta Madame B, charminglady Arushaone Erickb52 Puppy Mzee wa Rula Mzee Mwanakijiji-ur articles rock me kila siku....my geeks MziziMkavu Paje e2themiza,mmenifundisha mengi sana... LARA1 FirstLady Zinduna Ciello Kaizer PakaJimmy,@figaniga Mtambuzi Bujibuji Boflo Bishanga Puppy Mfupa eka mangi,.....nina list ndefu sana ya ku-mention,ngoja niwahi kibaruani,nitaimalizia baadae kidogo.
karibuni haka ka-halfkeki,special for the JF people,nimekanunua kwa wakimbiza maboxi nikachomeka mishumaa tule wote humu
karibuni haka ka-halfkeki,special for the JF people,nimekanunua kwa wakimbiza maboxi nikachomeka mishumaa tule wote humu
Last edited by a moderator: