Happening Now, Mwigulu azomewa sana baada ya kuwaita wafuasi wa CDM 'Manyumbu' hapa karatu, kilichotokea hatakisahau katika maisha yake, Ilibidi aondoke na chopa yake,,,,.... Baada ya kuwaita wananchi manyumbu watu tuliamua kuondoka huku tukionyesha Ishara ya mabadiliko...
Note; hapa ndipo kwa Dr Slaa lakini alipuuzwa sana baada ya kununulika..