Hapokei simu wala kujibu sms zangu

Hapokei simu wala kujibu sms zangu

Anakupenda lakn yuko buzy kuna mambo yanamkp buzy lakn bado anakukumbuka ndio maan kabla hajalala anakutext ili ujue bado mko pamoja na anakukumbuka.. Japo yahitaji moyo kuvumilia hali hiyo
 
Habari zenu wana MMU

Iko hivi hapo mwanzo mimi na mpenzi wangu tulikua tukichart na kupigiana simu vizuri tu lakini siku za hivi karibuni nimekuwa nikimpigia simu lakini hapokei sim yangu na ninapomtumia sms hajibu lakini cha kushangaza kila anapotaka kulala usiku ananitumia sms inasema "Ilove u so much hney & have a good 9t and nice dreams"

Nifanyeje ili nitatue tatizo hili wapendwa., na mimi bado nampenda sana

tulia wewe ! papuchi si unapewa? kama PAPUCHI unapewa hata asipojibu sms
 
Kuna possibilty kuwa ameloose interest na wewe, au kapata mupenzi mwingine ila sometimes anakukumbuka; esp usiku. Mwambie mkutane muyamalize, kila mtu ashike hamsini zake

Ni kweli kabisa kuna kitu nyuma ya pazia-ndo maana nachelewa kuoa,sasa hapo I love you ya nin tena,cwapendi
 
Na wkt mwingine na hilo jina lako linahitaji mtu atafakari mara mbili kabla hajakubali
 
Kaka hata mm limenitokea mm nina mpenzi wangu tangu tuanze mahusiano yetu sasa yafika miezi miwili mm sikutaka kusex naye bse sikumfahamu vizuri alitaka kulazimisha pambano lakini sikutaka sijui ndio sababu ya kunifungia vioo nampenda lakini sijakufahamu hata kwao na sasa dar imeharibiika pili kama atakubali nataka kumuoa so sitaki kumchezea nifanyeje

pole sana mussa makamba
 
Last edited by a moderator:
Halafu HILO JINA UNAWAAIBISHA WENYE NALO. WAO HUWA HAWALALAMIKI,WANATENDA TU.IMEKUAJE UNACHAGUA JINA AMBALO HUENDANI NALO? HEBU CHANGE HILO AL SHABAAB!!!
Bro kuna uwezekano wakubadilisha jina kumbe??ebu nisaidie nifanyaje ili kubadilisha??
 
Habari zenu wana MMU
Iko hivi hapo mwanzo mimi na mpenzi wangu tulikua tukichart na kupigiana simu vizuri tu lakini siku za hivi karibuni nimekuwa nikimpigia simu lakini hapokei sim yangu na ninapomtumia sms hajibu lakini cha kushangaza kila anapotaka kulala usiku ananitumia sms inasema "Ilove u so much hney & have a good 9t and nice dreams"
Nifanyeje ili nitatue tatizo hili wapendwa., na mimi bado nampenda sana

Kadri unavyozidi kukua kwa umri na kimo utakuwa unapata majibu mubashara ya tatizo lako.
Kwa sasa hata ukipewa majibu/ushauri akili yako haipo kwenye nafasi ya kuelewa.
 
Habari zenu wana MMU

Iko hivi hapo mwanzo mimi na mpenzi wangu tulikua tukichart na kupigiana simu vizuri tu lakini siku za hivi karibuni nimekuwa nikimpigia simu lakini hapokei sim yangu na ninapomtumia sms hajibu lakini cha kushangaza kila anapotaka kulala usiku ananitumia sms inasema "Ilove u so much hney & have a good 9t and nice dreams"

Nifanyeje ili nitatue tatizo hili wapendwa., na mimi bado nampenda sana
mtumie hela
 
Back
Top Bottom