Magnificient
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 1,177
- 733
Kuna possibilty kuwa ameloose interest na wewe, au kapata mupenzi mwingine ila sometimes anakukumbuka; esp usiku. Mwambie mkutane muyamalize, kila mtu ashike hamsini zake
Eighteen
hahahah jf stress freezone..! Ahsante jomyOmba al-qaeda wakusaidie
around 20s OLESAIDIMU
Mkuu Al-Shabab tahadhari maana naona kama unaplan kuanzisha a mega project ya kilimo cha mpunga Dodoma.
Habari zenu wana MMU
Iko hivi hapo mwanzo mimi na mpenzi wangu tulikua tukichart na kupigiana simu vizuri tu lakini siku za hivi karibuni nimekuwa nikimpigia simu lakini hapokei sim yangu na ninapomtumia sms hajibu lakini cha kushangaza kila anapotaka kulala usiku ananitumia sms inasema "Ilove u so much hney & have a good 9t and nice dreams"
Nifanyeje ili nitatue tatizo hili wapendwa., na mimi bado nampenda sana
eh! kuna bwana mdogo analia eti hajibiwi sms dadake mpenzi....hahahaaa!! mkuu kunani huku?
kuna mtu anashindwa kusema maneno muhimu maishani?
sasa kama anakutumia text usiku.. hujaelewa tu kwamba yuko busy na wengine mchana? hebu njoo PM nikupe mbinu za kimedali zaidi!Habari zenu wana MMU
Iko hivi hapo mwanzo mimi na mpenzi wangu tulikua tukichart na kupigiana simu vizuri tu lakini siku za hivi karibuni nimekuwa nikimpigia simu lakini hapokei sim yangu na ninapomtumia sms hajibu lakini cha kushangaza kila anapotaka kulala usiku ananitumia sms inasema "Ilove u so much hney & have a good 9t and nice dreams"
Nifanyeje ili nitatue tatizo hili wapendwa., na mimi bado nampenda sana
ngoja nimwandalie katiba mpya ya kumrudisha mpenzi wake kwenye mzunguko wa matumizi!Akikutana na Excel itakua solved
nimemuona.... ila kama anajiita al shabibi, itakuwa ni moja ya problemee!eh! kuna bwana mdogo analia eti hajibiwi sms dadake mpenzi....
kweli... Excel atamsaidia huyu....!
sasa kama anakutumia text usiku.. hujaelewa tu kwamba yuko busy na wengine mchana? hebu njoo PM nikupe mbinu za kimedali zaidi!
ngoja nimwandalie katiba mpya ya kumrudisha mpenzi wake kwenye mzunguko wa matumizi!
nimemuona.... ila kama anajiita al shabibi, itakuwa ni moja ya problemee!
nimemuona mkuu.. kati kati mwa mwezi kuna shida za hapa na pale kwa wapenzi! nalijua sana hili tatizo!
Excel dogo kwanza aache hilo jina....!
Habari zenu wana MMU
Iko hivi hapo mwanzo mimi na mpenzi wangu tulikua tukichart na kupigiana simu vizuri tu lakini siku za hivi karibuni nimekuwa nikimpigia simu lakini hapokei sim yangu na ninapomtumia sms hajibu lakini cha kushangaza kila anapotaka kulala usiku ananitumia sms inasema "Ilove u so much hney & have a good 9t and nice dreams"
Nifanyeje ili nitatue tatizo hili wapendwa., na mimi bado nampenda sana