Hapokei simu wala kujibu sms zangu

Hapokei simu wala kujibu sms zangu

Al-shabaab

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2013
Posts
1,791
Reaction score
620
Habari zenu wana MMU

Iko hivi hapo mwanzo mimi na mpenzi wangu tulikua tukichart na kupigiana simu vizuri tu lakini siku za hivi karibuni nimekuwa nikimpigia simu lakini hapokei sim yangu na ninapomtumia sms hajibu lakini cha kushangaza kila anapotaka kulala usiku ananitumia sms inasema "Ilove u so much hney & have a good 9t and nice dreams"

Nifanyeje ili nitatue tatizo hili wapendwa., na mimi bado nampenda sana
 
Habari zenu wana MMU
iko hivi hapo mwanzo mimi na mpenzi wangu tulikua tukichart na kupigiana simu vizuri tu
lakini siku za hivi karibuni nimekuwa nikimpigia simu lakini hapokei sim yangu
na
ninapomtumia sms hajibu lakini cha kushangaza
kila anapotaka kulala usiku
ananitumia sms inasema
"i love u so much hney & have a good 9t and nice dreams"

nifanyeje ili nitatue tatizo hili wapendwa.,
na mimi bado nampenda sana

Sepa, kakuchoka na hana mpango na wewe.Unampendaje mtu asiyekupenda? Au hujui maana ya watu kupendana.
 
Habari zenu wana MMU
iko hivi hapo mwanzo mimi na mpenzi wangu tulikua tukichart na kupigiana simu vizuri tu
lakini siku za hivi karibuni nimekuwa nikimpigia simu lakini hapokei sim yangu
na
ninapomtumia sms hajibu lakini cha kushangaza
kila anapotaka kulala usiku
ananitumia sms inasema
"i love u so much hney & have a good 9t and nice dreams"

nifanyeje ili nitatue tatizo hili wapendwa.,
na mimi bado nampenda sana
Hujawahi kuambiwa hilo neno na still akapendwa mwenzio? asikushughulishe hilo neno sikuizi limekua kama jina la Kanga,
tafuta ustarabu wako anakuzuzua tuu.....
 
Nawe jibu kifupi "Me Too" inatosha, usihangaike sana anakupima unampenda kiasi gani. Hebu nawe tulia kwa wiki mbili bila kumtafuta uone nanai ataanza kumrudia mwenzake. Tatizo lenu wengine mnaonesha mapema kwamba bila Yeye wewe si lolot Duniani kama kitenzi kisaidizi kisichotoa maana bila kitenzi kikuu. Kwani huwezi kwenda chooni bila yeye?
 
Himidini tumsaidie tu mdogo wetu....sidhani kama ameongea na "mpenzi" wake kuhusu hilo "tatizo" aongee naye kwanza halafu arudi hapa tumshauri zaidi
 
Last edited by a moderator:
Kwani phonebook yako ina jina moja tu la huyo binti? watumie na kuwapigia wengine ulio wasevu!!
 
Kwa hilo jina lako watafute wale wavamizi wa Westgate walioleta ile ambush naamini watakusaidia.
 
Halafu HILO JINA UNAWAAIBISHA WENYE NALO. WAO HUWA HAWALALAMIKI,WANATENDA TU.IMEKUAJE UNACHAGUA JINA AMBALO HUENDANI NALO? HEBU CHANGE HILO AL SHABAAB!!!
 
Back
Top Bottom