ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
HAPO ZAMANI HALI HAIKUWA KAMA HIVI:
HAYA YOTE TUNAYOYAONA HAYAKUJA KWA MIUJIZA. HATUNA BUDI TUNAMSHUKURU MUNGU KWA KUWA WAPO AMBAO WALIJITOA NAFSI ZAO KUTUMIKA NA KUIFANYA HALI IWE KAMA HIVI TUNAVYOWEZA KUONA HII LEO. WENGI WAO HATUNAO TENA.
http://dsmarchdiocese.catholicweb.com/index.cfm
MWENYEZI MUNGU AWAREHEMU KWA KADIRI YA MAPENDO YAO!.
Hapo zamani: hili ndilo kanisa na lori lillilotumika na Wamisionari.
Wakati huo magari yalikuwa ni ya gharama sana na maeneo mengi yalikuwa hayapitiki kwa magari kwa sababu ya vijinjia vidogo. Hivyo waliweza kutumia pikipiki kwa kusafiri mbali zaidi kutoka kituo kimoja hadi kingine.
Mmoja mwa watawa Waafrika wa kwanza
Picha inaonyesha mwanzo wa kuuguza wagonjwa hapa Peramiho, masista wa Ulaya na masista wa Afrika wabenediktini walikuwa wanatibu vidonda.
Abasia Peramiho
HAYA YOTE TUNAYOYAONA HAYAKUJA KWA MIUJIZA. HATUNA BUDI TUNAMSHUKURU MUNGU KWA KUWA WAPO AMBAO WALIJITOA NAFSI ZAO KUTUMIKA NA KUIFANYA HALI IWE KAMA HIVI TUNAVYOWEZA KUONA HII LEO. WENGI WAO HATUNAO TENA.
http://dsmarchdiocese.catholicweb.com/index.cfm
MWENYEZI MUNGU AWAREHEMU KWA KADIRI YA MAPENDO YAO!.
Hapo zamani: hili ndilo kanisa na lori lillilotumika na Wamisionari.
Wakati huo magari yalikuwa ni ya gharama sana na maeneo mengi yalikuwa hayapitiki kwa magari kwa sababu ya vijinjia vidogo. Hivyo waliweza kutumia pikipiki kwa kusafiri mbali zaidi kutoka kituo kimoja hadi kingine.
Mmoja mwa watawa Waafrika wa kwanza
Picha inaonyesha mwanzo wa kuuguza wagonjwa hapa Peramiho, masista wa Ulaya na masista wa Afrika wabenediktini walikuwa wanatibu vidonda.
Abasia Peramiho