Hapo ndio nashindwa kuwaelewa wanawake

Hapo ndio nashindwa kuwaelewa wanawake

wise one

Member
Joined
Sep 29, 2014
Posts
35
Reaction score
18
Wakuu,

Nina mdogo wangu Wa kike, ambae amefukuzwa kazi kwa kumnyima bosi wake mzigo ni kwamba hiyo kazi nilimtafutia miimi kutokana na kufahamiana na hr manager aa hiyo taasisi na ndie aliemuomba mzigo

Huyo jamaa alimtongoza huyu mdogo wangu na kumuomba wawe wapenzi na kama mambo yakienda vizuri wafunge ndoa maana mshikaji bado hajaoa ni kijana tu.

Kinyume na matarajio binti alimkatalia mshkaji ombi lake na mbaya zaidi akaanza kutangaza kwa mademu wenzie pale kazini jambo ambalo lilimuumiza sana mshkaji

Basi jamaa akamsubiria mwisho Wa probation maana binti alikua hajamaliza hata probation, miezi 6 ilipofika jamaa akapelekewa barua na idara husika kwa ajili ya confirmation.

Hapo ndipo jamaa akamalizia hasira zake Kwa kifupi hakum confirm akasema ame perform below standard.
Ukawa ndio mwisho wake pale, alilia sana akaja kunieleza ishu nzima na kuniomba nimtafutie kazi nyingine

Wakuu, hivi mnamuelewaje huyu mtu? Mtaani alipopanga keshawapa mzigo wajinga kibao tu ambao hawana msaada na maisha yake, halafu kamnyima mtu alieshikilia maisha yake.


Hapo tu huwa ndo nashindwa kuwaelewa wanawake
 
Kosa alilofanya ni kumtangaza mshakaji na sio kumkatalia. Kimbelembele chake ndo kilichomponza.

Aisee we binti unajua nilivyokumisi lakini?

Hahahah kosa lake ni "kantangaze" sio?

Naona mabinti wameshakunote watapunguza viherehere
 
Sasa blaza-yake mtu ina maana ulitaka sisteli aruke na mshikaji tu, halafu iwe poa tu,si ndio?
Unafaa kuwa shem wewe.
 
wise one, wewe ni juha na kuwadi usiyefaa katika jamii. Huyo unayemwita mdogo wako ulimpeleka kumuoza kwa huyo malaya mwenzako au ulimtafutia kazi! Huna adabu, unaleta stori za aivu kama hizi. Mzzz....
 
Last edited by a moderator:
Biti siyo mjinga bali wew ndiyo mjinga unayetaka biti aliwe tuu kizembe hata kama hajampenda boss wake akubali tu akipewa ngoma? Utamsaidia kunywa arv?
 
Aisee we binti unajua nilivyokumisi lakini?

Hahahah kosa lake ni "kantangaze" sio?

Naona mabinti wameshakunote watapunguza viherehere
Hahahaha, sasa babu unadhani ni rahisi mtu kukutangaza sehemu ambayo unaheshimiwa au pengine unaogopwa eti "ohhh kantongoza, anantaka" alafu akuache uendelee wakati uwezo wa kurudisha heshima yake anao?Lazima aonyeshe kwa vitendo bana, mi hata simlaumu.

Miss you too babu, pasaka nikaribishe basi pilau nyumbani kwa bibi.
 
...ambaye haeleweki hapo ni wewe kaka mtu uliyeleta mada hii hapa....kwaio ni kazi yako kumuunganisha dada yako kwa mabwana au?so ishu sio kufukuzwa kazi, ishu ni kumkatalia "aliyeshikilia maisha yake" pole sana....mtoaji wa riziki na aliyeshikilia maisha ya kila mtu ni Mwenyezi Mungu na sio binadamu yeyote...jisachi
 
Kosa alilofanya ni kumtangaza mshakaji na sio kumkatalia. Kimbelembele chake ndo kilichomponza.

Hata Mimi Ningemchinjilia Mbali Huyo Mdogo Wako Kwani Anaonyesha Bado Hajawa Matured Mentally Vya Kutosha Na Ni Bonge La Mbwiga.
 
Wakati mwingine ukitumia logic kutatua mambo ya kijamii huwa ni shida Sana.Jamii haitakuelewa.Hapo Dogo aliharibu kwa kumtangaza
 
Mis use of resources ha ha ha sometimes u have to sacrifice to make things move on!
 
Biti siyo mjinga bali wew ndiyo mjinga unayetaka biti aliwe tuu kizembe hata kama hajampenda boss wake akubali tu akipewa ngoma? Utamsaidia kunywa arv?

Na huyo binti naye ana mdomo mpana kwani hajawahi kutongozwa? Matangazo ndio yalimponza
 
Sasa ulitaka ampe mzigo kwasababu apewe kazi? ivi ni dadako kweli au dada wa hiyari?
 
Back
Top Bottom