Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,371
- 14,515
Hata Mimi Ningemchinjilia Mbali Huyo Mdogo Wako Kwani Anaonyesha Bado Hajawa Matured Mentally Vya Kutosha Na Ni Bonge La Mbwiga.
Sasa km hakumpenda huyo jamaa angelazimisha??.
Hata Mimi Ningemchinjilia Mbali Huyo Mdogo Wako Kwani Anaonyesha Bado Hajawa Matured Mentally Vya Kutosha Na Ni Bonge La Mbwiga.
Mis use of resources ha ha ha sometimes u have to sacrifice to make things move on!
labda jamaa aliomba tgo. Unaushauri gani kwenye ilo.
Wakuu huyu binti ni mdogo wangu kabisa tumbo moja
Historia yake tangu sekondari hadi chuo naifaham, ana tatizo uhuni I mean kutotulia, angekua binti msafi Wa tabia wala nisingekuja hapa kusema hili
Mtaani mangi Dukani kapewa, Dalali Wa magari kapewa na wajinga wengine wengi
Sasa what is her logic?
Nani kasema hiyo kitu unaomba siku ya kwanza??Watu wakishazoeana inatelezea kwa bahati mbaya then kutegemea na response unatakiwa kuendelea au kujieleza na kubembeleza!
Kama hajamvutia je???
Hao alowapanga mtaani wamemvutia na kumpa tulizo la kimahaba
Halafu unajua hr amrlala na wangapi hapo kwa gia ya kuwa "kijana na hajaoa?"
Mwanamke halalwi kwa kuwa yupo na hr analalwa kwa kuwa amevutiwa na kuamshwa mshawasha wake hivyo Usishangae hr anaachwa halafu msukuma mkokoteni anapewa papuchi
Aisee, unajisikiaje kujua sista anagawa uchi kwa kila aombaye?Wakuu huyu binti ni mdogo wangu kabisa tumbo moja
Historia yake tangu sekondari hadi chuo naifaham, ana tatizo uhuni I mean kutotulia, angekua binti msafi Wa tabia wala nisingekuja hapa kusema hili
Mtaani mangi Dukani kapewa, Dalali Wa magari kapewa na wajinga wengine wengi
Sasa what is her logic?
Sasa km hakumpenda huyo jamaa angelazimisha??.
Wakuu,
Nina mdogo wangu Wa kike, ambae amefukuzwa kazi kwa kumnyima bosi wake mzigo ni kwamba hiyo kazi nilimtafutia miimi kutokana na kufahamiana na hr manager aa hiyo taasisi na ndie aliemuomba mzigo
Huyo jamaa alimtongoza huyu mdogo wangu na kumuomba wawe wapenzi na kama mambo yakienda vizuri wafunge ndoa maana mshikaji bado hajaoa ni kijana tu.
Kinyume na matarajio binti alimkatalia mshkaji ombi lake na mbaya zaidi akaanza kutangaza kwa mademu wenzie pale kazini jambo ambalo lilimuumiza sana mshkaji
Basi jamaa akamsubiria mwisho Wa probation maana binti alikua hajamaliza hata probation, miezi 6 ilipofika jamaa akapelekewa barua na idara husika kwa ajili ya confirmation.
Hapo ndipo jamaa akamalizia hasira zake Kwa kifupi hakum confirm akasema ame perform below standard.
Ukawa ndio mwisho wake pale, alilia sana akaja kunieleza ishu nzima na kuniomba nimtafutie kazi nyingine
Wakuu, hivi mnamuelewaje huyu mtu? Mtaani alipopanga keshawapa mzigo wajinga kibao tu ambao hawana msaada na maisha yake, halafu kamnyima mtu alieshikilia maisha yake.
Hapo tu huwa ndo nashindwa kuwaelewa wanawake
We jamaaa ungekuwa demu wallah ningekugonga kwa kukupa pipi tu....doh