MTAZAMO
Platinum Member
- Feb 8, 2011
- 19,990
- 34,839
Wakuu,
nimepishana na DCM pale tegeta limejaa akina mama wametoa. makalio nje ya dirisha wakiwa uchi kabisa(nasisitiza uchi kabisa) wanakatika makalio yakiwa nje!
Imezuka taharuki kubwa hapa! ni msafara kama wa harusi!
Hii haikubaliki naomba askari wawakamate mara moja!
nimepishana na DCM pale tegeta limejaa akina mama wametoa. makalio nje ya dirisha wakiwa uchi kabisa(nasisitiza uchi kabisa) wanakatika makalio yakiwa nje!
Imezuka taharuki kubwa hapa! ni msafara kama wa harusi!
Hii haikubaliki naomba askari wawakamate mara moja!