watoto wa a town huwa wanaogopeka nao coz duh?wamezoea kuhongwa mijihela mingi sana
Utakuta Mdada hana kazi wala nn? Kapanga Chumba au Vyumba Sinza, K'nyama, Mbezi nk fully furnished.. Iphone ya hatari full loaded muda wote.. Kila dakika siku iko busy kama opereta wa posta.. Pamba kibao na za ukweli kinoma n siku hizi wanavyojiita Fassionista.. Saloon za ukweli every weekend nywele za Shear Illussion kwa wanaojua bei zao. Viwanja vyote vya hatari mjini anavijua kuanzia GardenBiastro Golden Tulip Savanna nk Sasa unajiuliza Niaje Niaje Arif..
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ila kiukweli hata mie nashangaaga. Yaani unakuta mdada ana matumizi makuubwa kupita kipato. Na hayo magari sasa! Mweeh! Nataka kuji-evaluate sasa!
King'asti na Idimi mnanishangaza kweli ina manaa hamjui kwamba rziki ya mbwa iko miguuni mwake?King,asti, hizo Bmw X6 na Porsche Cayenne walizo nazo hao akina dada ambao kazi zao haziwawezeshi kuwa na aina hio ya magari ndo huniacha na maswali tele. Kulea tu magari hayo ni ghali sana achilia mbali kuyanunua
Ila kiukweli hata mie nashangaaga. Yaani unakuta mdada ana matumizi makuubwa kupita kipato. Na hayo magari sasa! Mweeh! Nataka kuji-evaluate sasa!
Darisalama mambo kwa dola siku hizi,utasikia wanaulizana 'hivi jana bishanga alikupa dola ngapi?' Nenda bureau za namanga ,wateja wengi kinadada. Chezea bongo.
King'asti na Idimi mnanishangaza kweli ina manaa hamjui kwamba rziki ya mbwa iko miguuni mwake?
pia riziki hupangwa na Mungu wengine tukiumia kwa kusaga chaki ubaoni na kulima wegine wanapata kwa kupewa tu na wanaofanya kazi kwa niaba yao, hapa ndipo linapotimia lile neno, shule wa kazi nzuri doesn't matter kwenye kula maisha bana kinacho matter mshale umeurusha wapi.
Hapo lazima mpangishwe foleni ili maisha yaende.
Chezea Mabinti wa Mujini wewe Utalia mwenyewe,Hapendwi mtu inapendwa pochi,wana wanaume kibao.Wa1 wa kumchuna, Wa pili anazitafuna, Wa3 ndio anamkuna,,,,Utalia mwenyeweChezea mabinti wa mjini wewe? Utaumia mwenyewe chezea mabinti wa mjini wewe? Itakucost mwenyeweeee!!! Nenda U-turn ukawaone na ma-vogue,bmw x6,Jaguar wanayoya-ride chezeeeeiiiyaaaaaa wao!!
HahahahahaChezea BOX MANYOYA ww......ukitaka ugomvi muulize hela anatoa wapi ?? Acha balaa ndugu..hahaha
HahahahahaChezea BOX MANYOYA ww......ukitaka ugomvi muulize hela anatoa wapi ?? Acha balaa ndugu..hahaha