Mzee wa fund
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 514
- 89
Mjini ni chuo kikuu.
Duh, A-Town hapa pia mabinti naona mambo yao yamekuwa juu saana na sijawahi waona melelani wala wakijishughulisha na shughuli au Utalii lakin utaona wako busy sana katika matumizi fully time kwenye viwanja high class swali sasa huwa nani anawafanyia kazi.
Utakuta Mdada hana kazi wala nn? Kapanga Chumba au Vyumba Sinza, K'nyama, Mbezi nk fully furnished.. Iphone ya hatari full loaded muda wote.. Kila dakika siku iko busy kama opereta wa posta.. Pamba kibao na za ukweli kinoma n siku hizi wanavyojiita Fassionista.. Saloon za ukweli every weekend nywele za Shear Illussion kwa wanaojua bei zao. Viwanja vyote vya hatari mjini anavijua kuanzia GardenBiastro Golden Tulip Savanna nk Sasa unajiuliza Niaje Niaje Arif.. Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
weee weee.....kwani kuuza mawe ni mpaka uende Mererani.....au utalii ni mpaka uwe driver guide......jombaaaa.....akili ku mukichwa.....chezeya feminine......
Utakuta Mdada hana kazi wala nn? Kapanga Chumba au Vyumba Sinza, K'nyama, Mbezi nk fully furnished.. Iphone ya hatari full loaded muda wote.. Kila dakika siku iko busy kama opereta wa posta.. Pamba kibao na za ukweli kinoma n siku hizi wanavyojiita Fassionista.. Saloon za ukweli every weekend nywele za Shear Illussion kwa wanaojua bei zao. Viwanja vyote vya hatari mjini anavijua kuanzia GardenBiastro Golden Tulip Savanna nk Sasa unajiuliza Niaje Niaje Arif..
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
weee weee.....kwani kuuza
mawe ni mpaka uende Mererani.....au utalii ni mpaka uwe driver
guide......jombaaaa.....akili ku mukichwa.....chezeya
feminine......
...Mkuu, Umeishawahi kusikia 'Blank Cheques' walizonazo dada zetu...?
mkuu umenikumbusha movie yenye jina hilo la (blank Cheque)
Ninaipenda sana huwa inanchekesha mno........