Hapakui Mtu Hapa Mpaka Kiive

Hapakui Mtu Hapa Mpaka Kiive

Eddy Love

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2011
Posts
13,655
Reaction score
8,584
Kama Wewe Ndo Njaa Imekushiki Zaidi Hapa Hakipakuliwi Mpaka Kiive
 

Attachments

  • Mpaka Kiive.jpg
    Mpaka Kiive.jpg
    8.6 KB · Views: 1,062
Yani hayo mawe yamekandamiza mfuniko au ndo msosi wenyewe!!??
 
hii ndio kiboko
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1422016950611.jpg
    uploadfromtaptalk1422016950611.jpg
    36.6 KB · Views: 333
Kama Wewe Ndo Njaa Imekushiki Zaidi Hapa Hakipakuliwi Mpaka Kiive
aisee ...hivo ndo namna chura wanavopikwa..eeeh CHURA hujakosea kusoma..NI hapa hapa Tanzania katika mkoa wa mtwara wilaya ya masasi vijiji around Namajani chura wanaliwa vizuri tu....
Sasa basi kwa kuwa inakuwa ngumu kuwatoa roho, hupikwa wakiwa hai..hutoswa kwenye sufuria namna hiyo then funiko linawekwa mawe namna hiyo ili wakiruka ruka wasilifungue funiko
...unaambiwa chura wakiiva vizuri wanatoa mtuzi wenye rangi fulani ya njano mithili wametiwa binzari ya manjano
#tembea #uone
 
aisee ...hivo ndo namna chura wanavopikwa..eeeh CHURA hujakosea kusoma..NI hapa hapa Tanzania katika mkoa wa mtwara wilaya ya masasi vijiji around Namajani chura wanaliwa vizuri tu....
Sasa basi kwa kuwa inakuwa ngumu kuwatoa roho, hupikwa wakiwa hai..hutoswa kwenye sufuria namna hiyo then funiko linawekwa mawe namna hiyo ili wakiruka ruka wasilifungue funiko
...unaambiwa chura wakiiva vizuri wanatoa mtuzi wenye rangi fulani ya njano mithili wametiwa binzari ya manjano
#tembea #uone

Mmmmh! Kuna Ukweli Hapo Kaka?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom