Hapa Zitto ana maanisha nini?

Hapa Zitto ana maanisha nini?

Inategemea hiyo kauli ya Zito kaitoa lini, pia Zito kanukuliwa sehemu ndogo ya mazungumzo yake,huenda alikuwa akimaanisha garama za Dara Moro...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeona hilo handaki, hadi raha. Wanasiasa wanapenda kupotosha, tushukuru kwa uwepo wa Youtube, siku hizi taarifa zipo ushindwe mwenyewe. Hata mabibi vijijini hawategemei tena wanasiasa.
 
Unapaswa kuwa makini mno na data za Zito, huwa ni uongo uongo mwingi.
lakini mbna sijawahi ona Zito akifunguliwa mashtaka kwa kosa la kusambaza habari za uongo
na pia sijawahi sikia eneo/kitengo anachokiongelea eidha wizala au mkoa husika ama wasimamizi wa mladi husika kukanusha kwa hoja mbadala ili kithibitisha uwongo wake zaidi utasikia matamko ya wapambe tu mitandaoni ndo wanakuwa wakali
wakati Zito yeye huwa anaitisha hadi mkutano na waandishi na wakati mwingne anasema kabisa ni tamko la chama au anatumia account zake verified kabisa
ni kwanini
je anayosema huwa ni sahihi yenye ukweli ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom