Haukuwa sahihi kumbania jamaa kwa sababu hata kama angekaa kwa miezi 9 bila kuomba sex, bado mwisho wa siku mgefanya tu hakuna ajenda nyingine ya mwanaume kumfuata mwanamke zaidi ya kumvua bi***n, ungempa tu mwenzio alikuwa kesha zidiwa.
Na ili kujua kama yalikuwepo mapenzi lazima umpe ndo unajua kuna mapenzi, we hauwezi tu kuhoji kama yalikuwepo wakati haujampa mkayafanya hayo mapenzi.
Sijajua wewe ulikuwa unataka mapenzi tu au ulikuwa unataka mapenzo ya kweli, ebu niweke sawa hapa sijaelewa vizuri.
Kwenye mapenzi kuna mambo yanaweza kufanywa siku ya kwanza na kuna mengine yanahitaji muda
Kutoka out inawezekana hata mara ya kwaza ya kuonana kwenu
Ila ngono daaaahh!!!!!!!!!!!
mi nilitaka kumfahamu vizuri kwanza, nafasi huwa natoa kwa mtu mmoja at a time so sikuwa na kipozeoUlikosea Siku hiz hatuuziwi mbuz kwa mfuko...kuonja kwanza then mnaendelea je kama hujui abebe mzigo,kama una harufu awe clenner?? Ungempa kisha umhendle yaeezekana alikuchunguza akagundua unakakipoozeo hvyo alita akuswitch on kweke
atlist umenielewa lol, mapenzi si ngono tu though kwa watu wengine hawataki kuelewaJmn, kwani hakuwezi kua na mapenzi mpaka watu wafanye ngono? Hapo kasema alikua anamsoma, wajuane kwanza ndo aone kama watafanya au ndo mpaja ndoa, si watu wavamiane kama wanyama, hata wanyama wana njia yao ya kufikia huko kwenye ku du!
Jmn, kwani hakuwezi kua na mapenzi mpaka watu wafanye ngono? Hapo kasema alikua anamsoma, wajuane kwanza ndo aone kama watafanya au ndo mpaja ndoa, si watu wavamiane kama wanyama, hata wanyama wana njia yao ya kufikia huko kwenye ku du!
Mwenda tezi na omo marejeo ngamani, mwenda kwao si mtorohahaha....nakuona umechungulia chungulia apo mwishoe umekuja kula ugali wetu wakat haujahesabiwa.....vp uko siasan hamshib...mnapeana za uso tu????
Kwa upande wangu ulikuwa sahihi kabisa bila chenga!
atlist umenielewa lol, mapenzi si ngono tu though kwa watu wengine hawataki kuelewa