hapa yalikuwepo mapenzi kweli!!!!!!!!

hapa yalikuwepo mapenzi kweli!!!!!!!!

Private business ni kitu gani?
Kujidhalilisha ni nini?
Mada ya maana ni ipi?
Kwa kipimogani unajua ya maana?
Heshima ya JF ni ipi?

huo mtihani naruhusiwa kuujibu ama ajibe mwenyew?
 
Haukuwa sahihi kumbania jamaa kwa sababu hata kama angekaa kwa miezi 9 bila kuomba sex, bado mwisho wa siku mgefanya tu hakuna ajenda nyingine ya mwanaume kumfuata mwanamke zaidi ya kumvua bi***n, ungempa tu mwenzio alikuwa kesha zidiwa.

Na ili kujua kama yalikuwepo mapenzi lazima umpe ndo unajua kuna mapenzi, we hauwezi tu kuhoji kama yalikuwepo wakati haujampa mkayafanya hayo mapenzi.

Sijajua wewe ulikuwa unataka mapenzi tu au ulikuwa unataka mapenzo ya kweli, ebu niweke sawa hapa sijaelewa vizuri.

Una hatari sana wewe..!!!!!!!!!!!
Hebu muache mtoto wa watu
Muone kwanza

Hivi wee yero umeenda kuchunga ng'ombe leo??
 
Una hatari sana wewe..!!!!!!!!!!!
Hebu muache mtoto wa watu
Muone kwanza

Hivi wee yero umeenda kuchunga ng'ombe leo??

Leo kaenda mama yeyo me nakamua nyumbani.
Hatari gani mkuu me sijamwelewa huyu binti alichokua anakitaka kwa huyo jamaa ni mapenzi tu au ni mapenzi ya kweli?
 
si kila mtu anafaa kupewa...vigezo na masharti huwa vinazingatiwa

U nailed it men!!!!!!!mawasiliano ya kawaida tu hayapo, unanitafuta sikuunataka sex,naanzaje!!!!!
 
Kuna mapenzi ya nyoka na maPenzi ya njiwa. Mapenzi ya njiwa ni kulishana hadi tunduni na kuliwazana. Mapenzi ya nyoka ni hit and run tutatafutana tena baadae tukiwa na minyege mwitu.
Tatizo lako wewe ni njiwa ukapata nyoka.
Mi mwenyewe kuna kademu ka Kisafwa nilikapata, ile nimekasimamisha tu sijataja hata salamu kakaniwahi, kaka macho yako yana nyege, hebu twende nikazipunguze.
www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/578903-nahama-mmu-2.html

NB:
Nimerudi kimyakimya, Jukwaa la siasa agenda ni moja tu Zitto na mahakama, nishachoka mie
 
Last edited by a moderator:
Hayatuhusu. This is your private business. Unajidhalilisha. Kama huna mada ya maana, soma michango ya wenzako. Usishushe heshima ya JF

Weeee nawee ebu tutolee stress zako humu! Ndo nn kumshushua mwenzio hvo,kila mtu ana uhuru wakuandka anachojisikia! Kama amekukera pita hivii.......> Haina haja ya ku-comment!! Mwaka mpya huu acha majoto hasira hayana maana!
 
Haukuwa sahihi kumbania jamaa kwa sababu hata kama angekaa kwa miezi 9 bila kuomba sex, bado mwisho wa siku mgefanya tu hakuna ajenda nyingine ya mwanaume kumfuata mwanamke zaidi ya kumvua bi***n, ungempa tu mwenzio alikuwa kesha zidiwa.

Na ili kujua kama yalikuwepo mapenzi lazima umpe ndo unajua kuna mapenzi, we hauwezi tu kuhoji kama yalikuwepo wakati haujampa mkayafanya hayo mapenzi.

Sijajua wewe ulikuwa unataka mapenzi tu au ulikuwa unataka mapenzo ya kweli, ebu niweke sawa hapa sijaelewa vizuri.

I suport u....sijamwelewa bidada
 
Kuna mapenzi ya nyoka na maPenzi ya njiwa. Mapenzi ya njiwa ni kulishana hadi tunduni na kuliwazana. Mapenzi ya nyoka ni hit and run tutatafutana tena baadae tukiwa na minyege mwitu.
Tatizo lako wewe ni njiwa ukapata nyoka.
Mi mwenyewe kuna kademu ka Kisafwa nilikapata, ile nimekasimamisha tu sijataja hata salamu kakaniwahi, kaka macho yako yana nyege, hebu twende nikazipunguze.
www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/578903-nahama-mmu-2.html

NB:
Nimerudi kimyakimya, Jukwaa la siasa agenda ni moja tu Zitto na mahakama, nishachoka mie

Bujibuji karibu tupo
 
Last edited by a moderator:
Leo kaenda mama yeyo me nakamua nyumbani.
Hatari gani mkuu me sijamwelewa huyu binti alichokua anakitaka kwa huyo jamaa ni mapenzi tu au ni mapenzi ya kweli?

Kwenye mapenzi kuna mambo yanaweza kufanywa siku ya kwanza na kuna mengine yanahitaji muda

Kutoka out inawezekana hata mara ya kwaza ya kuonana kwenu
Ila ngono daaaahh!!!!!!!!!!!
 
Leo kaenda mama yeyo me nakamua nyumbani.
Hatari gani mkuu me sijamwelewa huyu binti alichokua anakitaka kwa huyo jamaa ni mapenzi tu au ni mapenzi ya kweli?
Mapenzi ya kweli ndio nayataka, ha!!!!! Kutokana na niliyoyaona mapenz hayakuwepo licha ya hayo mapenz ya kweli
 
Kuna mapenzi ya nyoka na maPenzi ya njiwa. Mapenzi ya njiwa ni kulishana hadi tunduni na kuliwazana. Mapenzi ya nyoka ni hit and run tutatafutana tena baadae tukiwa na minyege mwitu.
Tatizo lako wewe ni njiwa ukapata nyoka.
Mi mwenyewe kuna kademu ka Kisafwa nilikapata, ile nimekasimamisha tu sijataja hata salamu kakaniwahi, kaka macho yako yana nyege, hebu twende nikazipunguze.
www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/578903-nahama-mmu-2.html

NB:
Nimerudi kimyakimya, Jukwaa la siasa agenda ni moja tu Zitto na mahakama, nishachoka mie

hahaha....nakuona umechungulia chungulia apo mwishoe umekuja kula ugali wetu wakat haujahesabiwa.....vp uko siasan hamshib...mnapeana za uso tu????
 
Last edited by a moderator:
Hamna kitu hapo!! Bora ulivyoamua kuchapa yebo.. For him... you are just another game....
 
Kuna mapenzi ya nyoka na maPenzi ya njiwa. Mapenzi ya njiwa ni kulishana hadi tunduni na kuliwazana. Mapenzi ya nyoka ni hit and run tutatafutana tena baadae tukiwa na minyege mwitu.
Tatizo lako wewe ni njiwa ukapata nyoka.
Mi mwenyewe kuna kademu ka Kisafwa nilikapata, ile nimekasimamisha tu sijataja hata salamu kakaniwahi, kaka macho yako yana nyege, hebu twende nikazipunguze.
www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/578903-nahama-mmu-2.html

NB:
Nimerudi kimyakimya, Jukwaa la siasa agenda ni moja tu Zitto na mahakama, nishachoka mie

karibu bujibuji, hapo umenena, mi njiwa mambo ya nyoka nimewaachia wenyewe
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom