hapa yalikuwepo mapenzi kweli!!!!!!!!

hapa yalikuwepo mapenzi kweli!!!!!!!!

Unapotaka kumfahau mtu huwezi mfahamu ukiwa umeweka daraja au ukuta unatakiwa kuwa nae karibu uweze kumwelewa kiundani. Suala la kuwahi sex yawezekana hamkuweka mazingira ya kuwa karibu au kuwa na kitu mbadala ndo maana wewe ukaona mwenzako anawahi kuongelea suala la sex
so inaweza kuwa alternative ya ukaribu!!!!!is that what u mean!!!! If so mimi i wont take that kwa kweli
 
Kwani we hutaki pesa? You said " sijawahi kutaka chochote kutoka kwani in terms of cash" kana kwamba angeku-offer something na ungempa anything.[/QUOTE
My point is, iam not after his money but rather his heart, ingekuwa nimetanguliza mizinga ningeelewa kuwa anataka malipo
 
!
!
hahahahahahahahah duh

Ya nini maLUM


!
!
Ya nini malumbanooooo
Ya nini manenooooooo
Najiweka pembeeeni kuepusha msongamano
Bora nituliiiiiiie
hahahahahahahaha...................haya mkuuuu ila nimecheka mno hahahahahahah duh


sikaushi wala nini, kwako kunateketea kuzima moto kwa mwenzio inahusu!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom