Hapa wabunge mbona siwaelewi

Hapa wabunge mbona siwaelewi

Kwani msalaba ulianza na Yesu? Mbona ulikuwepo tu tena hata pasaka ilikuwepo hata kabla Yesu hajazaliwa. Wale wezi wawili "waliosulubiwa" pamoja na Yesu nao ni wakristo?! Msalaba sio ukristo!
 
Kumekuwa na malumbano makali bungeni,kuhusiana na sakata la upotevu wa pesa katika account ya tegeta ESCROW, kikubwa ni naibu spika job ndugai aliposema kila mbunge ajaribu kutoa maoni yake kuhusu sakata ilo,cha kushangaza kila mbunge si CCM wala UKAWA ukisimama kutoa maoni yake utasikia kila mtu aliehusika na wizi uwo abebe MSALABA wake ,sasa mimi nauliza hawa wabunge kwani wanawajua wezi wa hizo pesa ni WAKRISTO? Ujue nimewashangaa sana hawa wabunge wetu

Kwani hujui maana ya msalaba au unataka tu kuingiza udini?!,msalaba ina maana mzigo
 
Kumekuwa na malumbano makali bungeni,kuhusiana na sakata la upotevu wa pesa katika account ya tegeta ESCROW, kikubwa ni naibu spika job ndugai aliposema kila mbunge ajaribu kutoa maoni yake kuhusu sakata ilo,cha kushangaza kila mbunge si CCM wala UKAWA ukisimama kutoa maoni yake utasikia kila mtu aliehusika na wizi uwo abebe MSALABA wake ,sasa mimi nauliza hawa wabunge kwani wanawajua wezi wa hizo pesa ni WAKRISTO? Ujue nimewashangaa sana hawa wabunge wetu

Wewe ni mpumbavu
 
Tafsiri ya neno kwa neno mara nyingi huficha kile kinanachokusudiwa lakini sina hakika kama muliza swali hajaelewa sabu that's rhetorical question na kutaka kusumbua watu tu, humu hatupimani mawazo!!
 
Millioni 400 michango ya harusi na msiba.
 
1.6 bil consultation fee. 800mil school uniform. Acha kBISA
 
Back
Top Bottom