Hapa wabunge mbona siwaelewi

Hapa wabunge mbona siwaelewi

tamimusalim

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
1,822
Reaction score
499
Kumekuwa na malumbano makali bungeni,kuhusiana na sakata la upotevu wa pesa katika account ya tegeta ESCROW, kikubwa ni naibu spika job ndugai aliposema kila mbunge ajaribu kutoa maoni yake kuhusu sakata ilo,cha kushangaza kila mbunge si CCM wala UKAWA ukisimama kutoa maoni yake utasikia kila mtu aliehusika na wizi uwo abebe MSALABA wake ,sasa mimi nauliza hawa wabunge kwani wanawajua wezi wa hizo pesa ni WAKRISTO? Ujue nimewashangaa sana hawa wabunge wetu
 
Kumekuwa na malumbano makali bungeni,kuhusiana na sakata la upotevu wa pesa katika account ya tegeta ESCROW, kikubwa ni naibu spika job ndugai aliposema kila mbunge ajaribu kutoa maoni yake kuhusu sakata ilo,cha kushangaza kila mbunge si CCM wala UKAWA ukisimama kutoa maoni yake utasikia kila mtu aliehusika na wizi uwo abebe MSALABA wake ,sasa mimi nauliza hawa wabunge kwani wanawajua wezi wa hizo pesa ni WAKRISTO? Ujue nimewashangaa sana hawa wabunge wetu
ha ha ha ha ha ..... mfumo Kristo huo mkuu. teh teh
 
Kumekuwa na malumbano makali bungeni,kuhusiana na sakata la upotevu wa pesa katika account ya tegeta ESCROW, kikubwa ni naibu spika job ndugai aliposema kila mbunge ajaribu kutoa maoni yake kuhusu sakata ilo,cha kushangaza kila mbunge si CCM wala UKAWA ukisimama kutoa maoni yake utasikia kila mtu aliehusika na wizi uwo abebe MSALABA wake ,sasa mimi nauliza hawa wabunge kwani wanawajua wezi wa hizo pesa ni WAKRISTO? Ujue nimewashangaa sana hawa wabunge wetu
vitu vingine haviitaji hata msaada jaman kufikiria,ufikiri wako ndo umeishia hapo?
 
Kumekuwa na malumbano makali bungeni,kuhusiana na sakata la upotevu wa pesa katika account ya tegeta ESCROW, kikubwa ni naibu spika job ndugai aliposema kila mbunge ajaribu kutoa maoni yake kuhusu sakata ilo,cha kushangaza kila mbunge si CCM wala UKAWA ukisimama kutoa maoni yake utasikia kila mtu aliehusika na wizi uwo abebe MSALABA wake ,sasa mimi nauliza hawa wabunge kwani wanawajua wezi wa hizo pesa ni WAKRISTO? Ujue nimewashangaa sana hawa wabunge wetu

haya ni matokeo ya kukimbia kusoma somo la kiswahili. Kasome fasihi utajua msalaba umetumikaje.
 
Kwa hiyo sisi tukisaidie kwa huu upuuzi ulioandika hapa
 
Back
Top Bottom