Hapa UKAWA mnatuaminisha kitu gani?

Hapa UKAWA mnatuaminisha kitu gani?

It is simple!,kama wewe ni mwelevu tupe ufafanuzi wa hiyo kauli ya kuwa TUTASHINDA HATA KWA GOLI LA MKONO.
Pia tupe maoni yako kama kuna TUME HURU YA UCHAGUZI.
Ukishindwa kuyajibu haya usiwe unabwabwaja
 
Kuishindanisha ccm na ukawa ni sawa na kutoitendea haki ukawa,maana ccm kwa sasa ipo icu na ukawa wanachanja mbunga

Fanya utafiti then come back utuambie umeona nini
 
Umewahi kujiuliza why hatuna tume huru ya uchaguzi?

Sasa kama hamna time guru ya uchaguzi ni kwanini mmeamua kuingia? si mlisema bila tume huru hamtashiriki imekuwaje leo mnaanza tena kuona mtaibiwa? ndo maana mnaitwa malofa kwasababu hamjui hata mnachokifanya ni kitu gani ..mmedandia gari kwa mbele.
 
It is simple!,kama wewe ni mwelevu tupe ufafanuzi wa hiyo kauli ya kuwa TUTASHINDA HATA KWA GOLI LA MKONO.
Pia tupe maoni yako kama kuna TUME HURU YA UCHAGUZI.
Ukishindwa kuyajibu haya usiwe unabwabwaja

Hivi mnahisi mna kura za kuibiwa nyinyi kweli? mbona kila nikizitafuta sioni zitoke wapi mpaka eti mpate kura mpaka muibiwe ..nyinyi hizo kura hamna hata ikiletwa tume ya wapi, alafu si mmesema mmeongea na ICC wamesema kuwasaidia? sasa iweje mnaanza kujikwatua wenyewe tena, tulieni mshughurikiwe kwasababu tuliwahonya chandimu haichezwi na mababu
 
It is simple!,kama wewe ni mwelevu tupe ufafanuzi wa hiyo kauli ya kuwa TUTASHINDA HATA KWA GOLI LA MKONO.
Pia tupe maoni yako kama kuna TUME HURU YA UCHAGUZI.
Ukishindwa kuyajibu haya usiwe unabwabwaja

Daah kama mwizi kashasema nitakuibia na ukajua kweli ataniibia kwanini usijihami kwa kutafuta njia ya kumzuia asiibe au unataka nani akulindie au akuokoe kutokana na kuibiwa?

Tume si huru kabisa kila mmoja anajua hilo je kwanini usifanye kitu kitakachokusaidia kuondokana na ukilitimba wa NEC? Au ndiyo kusema mnamtegemea mungu amlindie kura zenu?
 
Nec ipige marufuku haya matamko ya kucreate tension isiyokuwepo ..vyama vibaki kushindana kwa sera majukwaani mambo ya kura waiachie NEC si mnaiamini make hata rufaa zenu mmeshinda na mmepewa wagombea wenu, sasa mbona mnaiponda tena?
 
Nec ipige marufuku haya matamko ya kucreate tension isiyokuwepo ..vyama vibaki kushindana kwa sera majukwaani mambo ya kura waiachie NEC si mnaiamini make hata rufaa zenu mmeshinda na mmepewa wagombea wenu, sasa mbona mnaiponda tena?

Ninachokiona ni kutengeneza tension mbaya kwa wanachama wao ili waonekane walishinda ila wameibiwa kura....

Labda hiyo NEC hawaaminiki kwny kura tu
 
Hilo ni la msingi pia kutokana na kukosekana kwa tume huru ila kwann kusitafutwe njia inayoweza kuzuia hilo wakati nasikia mtalamu wa kuiba kura yupo UKAWA kwa sasa

Je kwa kumtumia huyu hawawezi kupata njia ya kuokoa kura zao zisiibiwe?

JokaKuu

..vyombo vya dola vikiamua kusimamia haki basi huyo unayemuita "mtaalamu" wa kuiba kura atakuwa msaada kwa ukawa.

..lakini kama vyombo vya dola vikiendelea na mwenendo wao wa sasa hivi wa kuwa mawakala wa ccm, ukawa wanatakiwa wahakikishe wanapata kura nyingi sana sana kiasi kwamba hata zikiibiwa bado zitabakia za kutosha kuwapa ushindi.

MBEBA MAONO KAJA
 
..vyombo vya dola vikiamua kusimamia haki basi huyo unayemuita "mtaalamu" wa kuiba kura atakuwa msaada kwa ukawa.

..lakini kama vyombo vya dola vikiendelea na mwenendo wao wa sasa hivi wa kuwa mawakala wa ccm, ukawa wanatakiwa wahakikishe wanapata kura nyingi sana sana kiasi kwamba hata zikiibiwa bado zitabakia za kutosha kuwapa ushindi.

MBEBA MAONO KAJA

Kama mtu aliyeamua kuiba ili ashinde unaaminije kuwa kura zikiwa nyingi atashindwa kuiba na kujipa yeye ushindi?
 
ukitaka kujua kama tuna kura au hatuna mwambieni jaji aseme kila kituo kitangazo matokeo ya uraisi kabla ya kuyatuma tume?
 
CCM wapo kwenye ardhi wanapiga kampeni.

Ukawa wao wanapaa kupiga kampeni. Sasa watu wanaishi hewani au kwenye ardhi?
 
Nmekuwa nikifuatilia hizi kampeni za vyama mablimbali vya siasa ambazo zimeingia kwny wiki ya tatu sasa huku wagombea wa vyama mbalimbali na nafasi tofauti wakiendelea kupeana vijembe ili kuweza kushawishi wapiga kura wao.

Ila nmekuwa nikisikia hili neno likitoka hasa kwa viongozi wa UKAWA kwamba CCM watatuibia kura zetu hivyo nawaombeni mpige kura nyingi ili wakiiba zibaki nyingine.

Swali: Je inamaana kma itatokea CCM kushinda ushindi wao utatokana na wizi wa kura? Au ndio kutafuta huruma kwa wananchi wamuungeni mkono kwa kufikiria kuwa mnaonewa?

unatumia matako kchakata mawazo?
 
Daah kama mwizi kashasema nitakuibia na ukajua kweli ataniibia kwanini usijihami kwa kutafuta njia ya kumzuia asiibe au unataka nani akulindie au akuokoe kutokana na kuibiwa?kwenye nyekundu kuwambia watu wapige na kuzilinda ni moja ya njia za kujihami auna lingine?,kwenye blue tunataka wewe mwenyewe na wenzio CCM mtende haki kama democrasia inavyo hitaji

Tume si huru kabisa kila mmoja anajua hilo je kwanini usifanye kitu kitakachokusaidia kuondokana na ukilitimba wa NEC? Au ndiyo kusema mnamtegemea mungu amlindie kura zenu?
moja ya njia nikuiondoa CCM kupitia sanduku la kura kwa watu wengi kujitokeza na kupiga kura kisha kuzilinda kama ilivyo fanyika 2010 kwa baadhi ya wabunge walio taka kuchakachuliwa kura zao eg.nyamagana wenje isingekuwa watu kungangania masha angetangazwa mshindi
 
It is simple!,kama wewe ni mwelevu tupe ufafanuzi wa hiyo kauli ya kuwa TUTASHINDA HATA KWA GOLI LA MKONO.
Pia tupe maoni yako kama kuna TUME HURU YA UCHAGUZI.
Ukishindwa kuyajibu haya usiwe unabwabwaja

c mngeacha kuingia kwenye uchaguzi kilicho wakurupusha na mkakurupuka wakati tume huru haipo mnategemea nini acha tuuuu mpigwe kwa kua hakuna namna
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom