Mmanu
JF-Expert Member
- Feb 11, 2015
- 2,039
- 1,296
Nmekuwa nikifuatilia hizi kampeni za vyama mablimbali vya siasa ambazo zimeingia kwny wiki ya tatu sasa huku wagombea wa vyama mbalimbali na nafasi tofauti wakiendelea kupeana vijembe ili kuweza kushawishi wapiga kura wao.
Ila nmekuwa nikisikia hili neno likitoka hasa kwa viongozi wa UKAWA kwamba CCM watatuibia kura zetu hivyo nawaombeni mpige kura nyingi ili wakiiba zibaki nyingine.
Swali: Je inamaana kma itatokea CCM kushinda ushindi wao utatokana na wizi wa kura? Au ndio kutafuta huruma kwa wananchi wamuungeni mkono kwa kufikiria kuwa mnaonewa?
Ila nmekuwa nikisikia hili neno likitoka hasa kwa viongozi wa UKAWA kwamba CCM watatuibia kura zetu hivyo nawaombeni mpige kura nyingi ili wakiiba zibaki nyingine.
Swali: Je inamaana kma itatokea CCM kushinda ushindi wao utatokana na wizi wa kura? Au ndio kutafuta huruma kwa wananchi wamuungeni mkono kwa kufikiria kuwa mnaonewa?