Mkuu pambana na hali yako ....
Mbona wewe unaleta umbea wa kina dada...inaonekana haja yako ipo karibu sana yaani ukiona kichaka unataka kujisaidiaHiyo misemo ya kwenye khanga waachie wakinamama.
Mbona wewe unaleta umbea wa kina dada...inaonekana haja yako ipo karibu sana yaani ukiona kichaka unataka kujisaidia
Sasa hapo tatizo nini kwa akili zako za kichura, unataka uone majani ndio ujue tupo kwa madiba...umeshaambiwa pambana na tatizo lako la kufuga vyura na uzalishaji wa mbu pale kwenye bwawa lako la kaunda
karma is a bitch
Kwani Mtoni mtongani kuna uwanja?Sasa huo uwanja gani huo, si afadhari wangebaki Mtoni Mtongani tu