Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,077
- 4,673
Habarini za asubuhi,
Jana usiku nilikuwa nachat WhatsApp na mwenzangu, wakati tunaendelea nikamuga kidogo niende washroom one time mida kama tano kasoro narudi tuendelee na mazungumzo ndio hakupatikana tena.
Maswali niliyojiuliza kama ishu ni chaji kwanini asingebust simu akanijulisha?
Hapo hapo nikawa na swali jingine, kama ni chaji huwa unajua kuwa hapa sitoboi kwanini hakunijulisha pia mapema kuwa labda hatuna umeme na chaji inaweza kuniishia muda wowote, ili angalau niwe na la kujifariji.?
Wasiwasi umezidi zaidi baada ya kukuta msg zangu zimepokelewa saa 9 usiku, najiuliza tu kulikuww na haja gani ya kuwasha simu mida hiyo?
Wekeni michango yenu maana michango yenu ndio itanisaidia kufanikisha shughuhuli yangu
Jana usiku nilikuwa nachat WhatsApp na mwenzangu, wakati tunaendelea nikamuga kidogo niende washroom one time mida kama tano kasoro narudi tuendelee na mazungumzo ndio hakupatikana tena.
Maswali niliyojiuliza kama ishu ni chaji kwanini asingebust simu akanijulisha?
Hapo hapo nikawa na swali jingine, kama ni chaji huwa unajua kuwa hapa sitoboi kwanini hakunijulisha pia mapema kuwa labda hatuna umeme na chaji inaweza kuniishia muda wowote, ili angalau niwe na la kujifariji.?
Wasiwasi umezidi zaidi baada ya kukuta msg zangu zimepokelewa saa 9 usiku, najiuliza tu kulikuww na haja gani ya kuwasha simu mida hiyo?
Wekeni michango yenu maana michango yenu ndio itanisaidia kufanikisha shughuhuli yangu