Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,641
Ban ya mwaka sioImepigwa ban mkuu ile
Tatizo akili yako mbovu dogo
Ban ya mwaka sioImepigwa ban mkuu ile
We siunazuga muhuni njo wakulambe takoSikuhizi hapanuki?
Vibaka wamepungua?
Lete uhuni nakuharibia kwa modWadanyanye tu wanawake wenzako
Hii sentensi ulioandika mwisho sidhani aisee,
Roman hamwezi The Beast,
Atajitahidi Spear zake kadhaa au Supermen Punch but akija kukamatwa kwenye Suplex City tu basi mchezo unaishia hapo.
Dogo I'd yako Ile umeamua kuikacha mazima
Lete uhuni nakuharibia kwa mod
Kenge we
Undertaker wa sasa hata Mie naweza kumpiga (joke),Ni kweli Suplex City ni pagumu, nakumbuka The Beast Alitetea Mkanda 4 Men competed in the same ring Brock Lesnar, Braun Strowman, Roman Reign na Samoa Joe.
The Beast Alitetea Mkanda kwa kumpiga Roman Reign. Namkubali Roman Reign akijiandaa, kampiga Undertake kamfanya astaafu, japo Undertake anarudi kwenye WrestleMania anakuja kupambana na John Cena
Undertaker wa sasa hata Mie naweza kumpiga (joke),
Huyu haniwezi,Haaaaa subutu uwezi mpiga Undertake(Dead man). Yaani wewe hata huyu huna uwezo wa kumpiga Hornswoogle mbilikimo wa kizungu View attachment 721079
Naangalia hapa kitu hawa Kevin Owen na Sami Zayn walichomfanya Meneja wao Shane McMahon huu ni zaidi ya uuaji yaani,!
!
Brainless kweli aiseee. Michezo ya kuigiza Ile na ninyi
Huyo James Ellsworth kweli utampiga kwa sababu kapigwa na mwanadamu Becky Lynch.Huyu haniwezi,
Kumbe hata Brock Lesnar na U-Mwamba wote ule still bado ana tabia za Ki-Coward za kuvizia vizia watu?Hapo alimpa kipigo Roman Reign akiwa na pingu mkononi, ilikua Roman alikua anatolewa nje uringo na mapolisi wakamtia pingu, brock lesnar akatokea huko alimpa kichapo cha kufa mtu sijui kama Roman amepata nafuu maana alipigwa haswa
Brock lesnar na nguvu zote zile eti anavizia, imenikera sanaKumbe hata Brock Lesnar na U-Mwamba wote ule still bado ana tabia za Ki-Coward za kuvizia vizia watu?
Nilidhani wababe wanaojiamini hawanaga hizo mambo