Hapa pa ni mimi na wife tunavushwa darajani

exalioth

JF-Expert Member
Jun 22, 2016
2,190
3,685
Kutoka Dar mpaka kijijini
Screenshot_2020-04-22-02-18-05.jpeg
Screenshot_2020-04-21-17-44-58.jpeg
Screenshot_2020-04-22-02-18-05.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahitaji kujua kitu kimoja ambacho Tanzania tumefanikiwa, miundombinu ovyo, technology ovyo, hata kufanya kazi watu wavivu, maofisini ukienda unaangaliwa tu, watu wengi afya mgogoro vitambi kila kona badala ya mazoezi, ukiwa kibonge na matako makubwa unakua very popular huku ni afya mgogoro, yaani we are doing all the wrong things 😂
 
Nahitaji kujua kitu kimoja ambacho Tanzania tumefanikiwa, miundombinu ovyo, technology ovyo, hata kufanya kazi watu wavivu, maofisini ukienda unaangaliwa tu, watu wengi afya mgogoro vitambi kila kona badala ya mazoezi, ukiwa kibonge na matako makubwa unakua very popular huku ni afya mgogoro, yaani we are doing all the wrong things 😂
mkuu inaonekana una stress za maisha sana.
 
Back
Top Bottom