Hapa nina full stress

Yes huwa naona aibu kununua ndom mkuu
Acha upate ngoma na ufe tu.
Maana hamna namna, sasa utajinasua vipi hapo ndgu yangu?

Ndom unaogopa kununua, ukiumwa hosp unaogopa kwenda, kumbato unapenda.

Mbona madukani huwa kuna machalii tu ndo wanauza, unawaonea aibu Me wenzio, hamna asiejua kua kuna kuzagamua.

Ni sawa na uogope kwenda kukata gogo kisa kuna mtu atakuona ukiingia chooni, ilhali binadamu wote tunakata gogo.
 
kila muhudumu wa pale alikuwa akisoma kadi yangu anasikitika kuna mmama mmoja akaniambia kijana mbona unajidhalilisha hivi aisee niliona aibu mno.
Ni hospital gani hiyo isiyo na privacy na wagonjwa... Yani Hadi mtu Baki akuulize ...
Acha chai.

Na Wala cyo gono hyo. Hyo Ni UTI sugu.

Kula CIPRO
 
Mkuu hapo dawa sio kutokuwa na madem wachafu ishu hapo ni kuowa tena huyo mke wako uwe unamuamini kweli kweli vinginevyo uwez toka salama
 
😃😀😀😀😀😀😂😂😂😂 Eti wanatobwa
 
Na huo ndio ukweli....aachane na watoto wadogo 😅

Ni kweli mkuu baada ya hili tukio aisee sifanyi kosa tena takuwa makini mno
 
Isha nikuta iyo nili shtuka tu naona boxer ina vitu sivielewi na niki minya 🍆 kuna maelekezo yana shuka afu siyaelewi ..nika mcheki bro ni doctor tuka maliza issue within 1 week .ngoma nika pima baada ya 5 month maana nilkua sina amani ya moyo .yule dem ali niambie apendi ndom na nyege zangu siku tumia akili kabsa kusoma red frag .


Wengi upata haya magonjwa kwa kutumia kichwa cha chini kufikiri kama mimi ..
 
Ni hospital gani hiyo isiyo na privacy na wagonjwa... Yani Hadi mtu Baki akuulize ...
Acha chai.

Na Wala cyo gono hyo. Hyo Ni UTI sugu.

Kula CIPRO
Sio chai mkuu pale kuna wahudumu wakike kibao halafu wanaishi kifamilia sana yani unaweza kuta chumba cha daktari manesi wamejaa et wanapiga story na shosti yao au kwa mtoa dawa kifupi pale kila mtu anaingia kwenye sekta ya mwenzake bila uog wowote nilichukia sana hii kitu
 
Naona hizo dawa alizokuwa anameza kama vile ni panadol na metronidazole
Ni hospital gani hiyo isiyo na privacy na wagonjwa... Yani Hadi mtu Baki akuulize ...
Acha chai.

Na Wala cyo gono hyo. Hyo Ni UTI sugu.

Kula CIPRO
 
Mambo kama haya yakitpkea ni muhimu kwenda hospitali moja kwa moja.

Hao wastaafu wa vichochoroni hawawezi kukufanyia vipimo kama "Culture and Sensitivity" ambavyo vinaweza kuhitajika kukupima vizuri kujua upewe dozi gani.

Siku hizi hayo magonjwa hayasikii dawa, na ukipewa dawa ovyo unaweza kuongeza resistance ya vidudu.

Zaidi, wafanyakazi wa hospitali wanatakiwa kuwa wamefundishwa kuhudumia wagonjwa bila judgement. Kwa hiyo usione aibu kwenda, wale ndiyo kazi yao kukuhudumia. Wanahudumia kila mtu, mpaka majambazi wanaoua watu wanatakiwa kuhudumiwa bila judgement.
 
Unaendaje hospital za kiboya namna hyo!?
 
hatareee tupuuu.
 
Mbona hii iko sana hasa zahanati, vituo vya afya na hospital za vijijini, wala hawana habari ya privacy kabisaa. Lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…