Nunua boksi la ndomu piga mzigo wadada kama watano tofauti wapange wengi wengi gombanisha fumaniwa filisika rudi kwenye form yako😁baada ya hapo Kuna kahofu flan katakua kamekutoka
Pole Sana tumia dozi kwa usahihi utakuwa poa ,Ila ikitokea ukagonga Tena mwenye gono baada ya kupona kuugua nikugusa tu.... ukimtongoza Dem au ukimuomba namba demu akakunyima mshukuru Sana maana anakuepushia na mengi
Nunua boksi la ndomu piga mzigo wadada kama watano tofauti wapange wengi wengi gombanisha fumaniwa filisika rudi kwenye form yako😁baada ya hapo Kuna kahofu flan katakua kamekutoka
Daah mkuu ishu ipo kwenye kupima aisee hapa nimeenda kuchoma sindano nesi akaniambia kama unawasi wasi tukupime ba ngoma kabisa uwe huru aisee nimetoka nduki
Daah mkuu ishu ipo kwenye kupima aisee hapa nimeenda kuchoma sindano nesi akaniambia kama unawasi wasi tukupime ba ngoma kabisa uwe huru aisee nimetoka nduki
Pole Sana tumia dozi kwa usahihi utakuwa poa ,Ila ikitokea ukagonga Tena mwenye gono baada ya kupona kuugua nikugusa tu.... ukimtongoza Dem au ukimuomba namba demu akakunyima mshukuru Sana maana anakuepushia na mengi
Hapana kwenye usafi mimi nipo vzr ila huyu dem alikuwa na kishombo flani sema nilipuuza coz sikuwa mzoefu wa hizo mambo ila baada ya kupitia nyuzi za humu nimegundua kumbe hicho kiarufu kina maana yake