Hapa ni wapi?

Hapa ni wapi?

Hapo ni arumeru (magufuli hapa mi ndio niliitengeneza
 
Coaster ya Ndwanga Mwafirombe Mwambifirefire Mwakifurefure Mwafwengwa hii, inapiga trip za Tukuyu-Mbeya, hapo ni pande za mporoto.
 
Mkuu ulipiga picha ukiwa unaendesha gari, tena ukiwa unapishana na gari jingine, kwenye kona, halafu milimani ukiwa kwenye mteremko! Hatari sana, bado tunakuhitaji.
 
Back
Top Bottom