TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 12,045
- 12,541
JAMAA: I Love you sweetie.
BINTI: I love you too... ila tupendane tu,
mambo ya ngono sitaki nakutunzia mpaka
utakapokuwa mume wangu.
JAMAA: Hilo si
tatizo, na mimi mambo ya kuniomba pesa
sitaki nakutunzia mpaka utakapokuwa mke
wangu.!
BINTI: "jamani baby hutaniwi..!!w
BINTI: I love you too... ila tupendane tu,
mambo ya ngono sitaki nakutunzia mpaka
utakapokuwa mume wangu.
JAMAA: Hilo si
tatizo, na mimi mambo ya kuniomba pesa
sitaki nakutunzia mpaka utakapokuwa mke
wangu.!
BINTI: "jamani baby hutaniwi..!!w