Ugeni huu shida sana,
Kumbe pande hii kuna misosi?
Nyama ni nyama tu,
Nimesha kula;
Mbwa,Nyani,Nyoka Chura Panya konokono Panzi na bettle
Ni namna tu ya kuandaa,
Wakipikwa na soya sauce,
halafu usawa wenyewe huu wa bongo,
Mkuu hiyo ni Philipino hao Wa Philipino hawachaguwi kitu kila kitu kwao ni chakula hata mende mijusi,panya ng'e vyote hivyo kwao ni chakula tu hahahahahahahh Mbuzi Mzee