teh teh teh jamaa angecheka tuHivi ingekuaje wakati polisi wanamuulizia kama ameona mtu kapita hapo afu kwa woga wa huyo dada angeanza kutetemeka kwa woga tu akajamba humo ndani ya sketi jamaa siangesema mmeamua kunifuata humu na mizinga kama ya mbagala?
hapo msichana pia ataonekana na hatia
Kama ni mimi huyo mwizi ningemuuliza huyo msichana kama anapangisha nipange mazima
hahahaaaa...Hivi ingekuaje wakati polisi wanamuulizia kama ameona mtu kapita hapo afu kwa woga wa huyo dada angeanza kutetemeka kwa woga tu akajamba humo ndani ya sketi jamaa siangesema mmeamua kunifuata humu na mizinga kama ya mbagala?