Jumatatu katika kipindi cha Jahazi bwana kibonde alisema, tofauti na huku kwetu kule marekani hata mtu awe mjinga vipi anaweza tu kuongoza ile nchi, alisema mfumo wa marekani unawezesha mtu yeyote kuwa rais na akaongoza nchi vizuri tu, niliposikia hii nilishangaa, lakini leo wakati nasikiliza debate ya Obama vs Romney nikakumbuka zile kauli za bwana kibonde, nikatamani kama awe anatazama pia ili atafakari.
Wakati wanasiasa wetu wanafanya siasa 'uchwara' wenzetu wako detailed sana, kwa mfano, kutakuwa na debate tatu mwaka huu, zote kwa dk 90 na zote zinarushwa live.
debate ya kwanza ilikua kuhusu domestic policy, ya pili kuhusu domestic na foreign policy na ya tatu itakuwa foreign policy, na kwa debate zote hizi kuna scrutiny kubwa sana kutoka media na kutoka wananchi.
ni kama job interview, kama hujui hupiti unless kuna rushwa, ambayo kwa bahai nzuri tena kwa wenzetu haina nafasi kabisa!
Wakati wanasiasa wetu wanafanya siasa 'uchwara' wenzetu wako detailed sana, kwa mfano, kutakuwa na debate tatu mwaka huu, zote kwa dk 90 na zote zinarushwa live.
debate ya kwanza ilikua kuhusu domestic policy, ya pili kuhusu domestic na foreign policy na ya tatu itakuwa foreign policy, na kwa debate zote hizi kuna scrutiny kubwa sana kutoka media na kutoka wananchi.
ni kama job interview, kama hujui hupiti unless kuna rushwa, ambayo kwa bahai nzuri tena kwa wenzetu haina nafasi kabisa!