Hapa nani kaingia kwenye mfumo?

Hapa nani kaingia kwenye mfumo?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,931
Reaction score
828,585
Mwisho wa wiki hii mitandao ilivamiwa na slogan ya NO REFORMS NO ELECTION
Hii ilikuwa kama Slogan mama! Kisha ikasindikizwa na zingine kama
#Free Lissu nk
Lakini hapo hapo sambamba na hilo ikaja pia kampeni ya ku "unfollow" mitandaoni watu maarufu ambao walionekana kutounga mkono NO REFORMS NO ELECTION.. Mwathirikab mkuu akiwa Milard Ayo
Government organs nyingi ilibidi zifunge sehemu ya comment kwa yale waliyopost kwakuwa asilimia karibia 95 ziiijaa NO REFORMS NO ELECTION! Ni almost mitandao ili parallysed na hizo slogans toka kwa wachangiaji

Ni mpaka jana mchana upande wa pili walipokuja na OCTOBA TUNATIKI.. Ambayo bado inachechemea kwakuwa ni kama imevamia gari kwa mbele ambalo liko kwenye spidi kubwa

Octobatunatiki sidhani kama itauweza moto wa NORE NOE.. Maana ni HIARI vs SHURUTI... Na hiari siku zote yashinda utumwa.. NoRe NoE watu wanajitolea lakini octobatunatiki inaandaliwa bajeti
Bila kupepesa macho unaweza kuona ni nani kajaa kwenye mfumo wa mwenzake!
No tresspassing.. Otherwise! Vitasa😂
IMG-20250608-WA0019.jpg
 
Mwisho wa wiki hii mitandao ilivamiwa na slogan ya NO REFORMS NO ELECTION
Hii ilikuwa kama Slogan mama! Kisha ikasindikizwa na zingine kama
#Free Lissu nk
Lakini hapo hapo sambamba na hilo ikaja pia kampeni ya ku "unfollow" mitandaoni watu maarufu ambao walionekana kutounga mkono NO REFORMS NO ELECTION.. Mwathirikab mkuu akiwa Milard Ayo
Government organs nyingi ilibidi zifunge sehemu ya comment kwa yale waliyopost kwakuwa asilimia karibia 95 ziiijaa NO REFORMS NO ELECTION! Ni almost mitandao ili parallysed na hizo slogans toka kwa wachangiaji

Ni mpaka jana mchana upande wa pili walipokuja na OCTOBA TUNATIKI.. Ambayo bado inachechemea kwakuwa ni kama imevamia gari kwa mbele ambalo liko kwenye spidi kubwa

Octobatunatiki sidhani kama itauweza moto wa NORE NOE.. Maana ni HIARI vs SHURUTI... Na hiari siku zote yashinda utumwa.. NoRe NoE watu wanajitolea lakini octobatunatiki inaandaliwa bajeti
Bila kupepesa macho unaweza kuona ni nani kajaa kwenye mfumo wa mwenzake!
No tresspassing.. Otherwise! Vitasa😂
kwamba mnataka kuzuia uchaguzi ama 🤣 🤣
 
Muktadha wa mada ni swali nani kaingia kwenye 18 za mwenzake.... Naona nawe umeshaingia kwenye mfumo maama umeshindwa kuwaza tofauti😀
kua wa kwanza ama wa mwisho sio hoja, ata mm naweza anzisha movement yoyote lakini naanzisha kelele tu ama naanzisha mkakati? tukiangala no reform yenu, haina mantiki kwa sababu kuzuia uchaguzi hamuwezi, amna haja ya kuingiza watu kwenye matatizo ambayo ytaishia kuwaletea laaana tu

watu wamepoteza maisha kwa sababu ya hizi movement zenu za kishamba
 
kua wa kwanza ama wa mwisho sio hoja, ata mm naweza anzisha movement yoyote lakini naanzisha kelele tu ama naanzisha mkakati? tukiangala no reform yenu, haina mantiki kwa sababu kuzuia uchaguzi hamuwezi, amna haja ya kuingiza watu kwenye matatizo ambayo ytaishia kuwaletea laaana tu

watu wamepoteza maisha kwa sababu ya hizi movement zenu za kishamba
FB_IMG_1749317948715.jpg
 
Back
Top Bottom