Hapa Maulid kamaanisha Ulaya ipi hiyo?

Hapa Maulid kamaanisha Ulaya ipi hiyo?

Full charge

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2018
Posts
1,712
Reaction score
1,660
Mimesoma chapisho lake kwenye mtandao wa Instagram akizungumzia uhamisho wa Kennedy Musonda aliyekuwa mchezaji wa club ya Yanga ambaye kwasasa katimkia timu moja huko Israel.

Maswali niliyojiuliza baada ya kusoma chapisho lake lote ni haya hapa tusaidiane kujiuliza:

Je Maulid hakusoma jiografia kama mimi niliyekalia kuvua samaki mto Pangani wakati wenzangu wakiwa darasani?

Je hakuwa na taarifa sahihi kuhusu uhamisho wa mchezaji huyo?

Je anafanya makusudi kaamua tucheke Musonda kuhamia Ulaya?

Je huenda mimi ndiye nimeelewa tofauti kutokana na uwezo wangu mdogo wa kufikiri (IQ ndogo)🙏🙆‍♂️

20250714_134203.jpg
 
Kwa kujibu swali lako ni hivi, kuanzia mwaka 1994 Israel kwenye Mpira ana full membership ya kucheza mashindano ya bara la ulaya..... Kimchezo Israel inatambulika na kuwepo ndani ya shirikisho la ulaya, hata hio club ya musonda alipo ipo kwenye pre eliminary stages za Europe league/conference Moja wapo hapo Sina uhakika Sana


So kitenge yupo sahihi 100%
 
Israel ipo Asia na siyo Europe, ukihamia huko huwezi kusema umehamia ulaya hapo umehamia Asia
Kwa kujibu swali lako ni hivi, kuanzia mwaka 1994 Israel kwenye Mpira ana full membership ya kucheza mashindano ya bara la ulaya..... Kimchezo Israel inatambulika na kuwepo ndani ya shirikisho la ulaya, hata hio club ya musonda alipo ipo kwenye pre eliminary stages za Europe league/conference Moja wapo hapo Sina uhakika Sana


So kitenge yupo sahihi 100%
 
Kwa kujibu swali lako ni hivi, kuanzia mwaka 1994 Israel kwenye Mpira ana full membership ya kucheza mashindano ya bara la ulaya..... Kimchezo Israel inatambulika na kuwepo ndani ya shirikisho la ulaya, hata hio club ya musonda alipo ipo kwenye pre eliminary stages za Europe league/conference Moja wapo hapo Sina uhakika Sana


So kitenge yupo sahihi 100%
Sijauliza swali itakua umechanganya
 
Musonda ni mchezaji wa mpira, ligi anayocheza ipo ulaya, Kwa hio unataka tuseme musonda katimkia ligi ya Asia au??? Kitenge kaongea lugha ya mpira na analenga hadhira ya wanamichezo sio Wana jeografia sioni kama kakosea
Angeongelea ligi ndo angesema ulaya ila kuhamia kahamia Asia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom