Hapa Lowassa hatoki...

Hapa Lowassa hatoki...

KIM KARDASH

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
5,139
Reaction score
1,149
532316_204963082973221_351124274_n.jpg
 
Hii ni sekretarieti lakini, sio CC; tulichonacho so far ni wajumbe saba wa sekretarieti ambao automatically wanaingia kwenye CC; Kwahiyo hawa ni wajumbe wa mwanzo wa CC i.e. wajumbe saba kati ya jumla ya wajumbe ishirini, which makes it only one third of the total so far; Ni muhimu tusubiri uteuzi wa wajumbe 13 waliobakia ili tujue ni kina nani, then ndio tuingie katika analysis husika;
 
Hii ni sekretarieti lakini, sio CC; tulichonacho so far ni wajumbe saba wa sekretarieti ambao automatically wanaingia kwenye CC; Kwahiyo hawa ni wajumbe wa mwanzo wa CC i.e. wajumbe saba kati ya jumla ya wajumbe ishirini, which makes it only one third of the total so far; Ni muhimu tusubiri uteuzi wa wajumbe 13 waliobakia ili tujue ni kina nani, then ndio tuingie katika analysis husika;

Mchambuzi, I now hate this ccm of current times with all my heart so I am not biased on anything concerning the current ccm! But nevertheless, sioni jinsi lowassa atakavyokuwa na influence kwenye nec hii!
 
Ni mapema mno kuyasema haya, lakini kama kawaida yenu magamba mna vitisho vingi visivyo hai
 
Mchambuzi, I now hate this ccm of current times with all my heart so I am not biased on anything concerning the current ccm! But nevertheless, sioni jinsi lowassa atakavyokuwa na influence kwenye nec hii!

Hatred yako kwa CCM ipo justified kabisa, na ni mwehu tu ndio atakuwa na mapenzi na CCM ya sasa bila ya kuikosoa; vinginevyo kuhusu Lowassa na CC, ni mapema kujadili hilo as a final analysis kwani ni mapema mno kujua iwapo Lowassa is a political asset au a political liability KWA CCM, tutajua hilo Mwanzoni mwa 2015, hasa pale market forces zitakapo kick in; So far ni direct interventions ndio zinaendelea to determine whether he is an asset or a liability;

Vinginevyo kwa sasa, kama nilivyokwisha sema elsewhere, uteuzi wa Kinana, Mangula ni jambo zuri kwa CCM ya sasa, lakini ni muhimu tujue tu kwamba katika mwili wa lijitu hili linaloitwa CCM, kilichotokea ni mabadiliko kidogo katika Kichwa lakini Shingo imebakia kuwa ni ile ile;

Nadhanu pia utakubaliana na mimi kwamba Shingo (sio kichwa) ndio hufanya kichwa kigeuke kulia, kushoto, kitazame juu, kitazame chini, kilalie mto, kisilalie mto, kiitikie ndio au hapana kwa kutikisa kichwa n.k; Kichwa hakifanyi haya kwa maamuzi yake bali kwa maamuzi na nguvu ya shingo;

Hii ndio changamoto kubwa inayokikabili Kichwa (Kinana, Mangula) kwani Shingo ni ile ile;
 
Mchambuzi, I now hate this ccm of current times with all my heart so I am not biased on anything concerning the current ccm! But nevertheless, sioni jinsi lowassa atakavyokuwa na influence kwenye nec hii!

ukimtoa Nape, walobakia wote, Eddo ana-influence, which shows kuna zaidi ya 75% ya Eddo kuingia ikulu 2015
 
Uteuzi wa Nchemba kuwa Naibu Katibu Mkuu umeniacha hoi; Sielewi CCM huwa wanatumia performance indicators gani kumpandisha mtu cheo; Naibu katibu Mkuu wa Chama ni mtu mzito sana na Nchemba ni mtu mwepesi sana kubeba uzito huu; Iwapo CCM ilitaka Kijana ashike nafasi hii na atoke miongoni mwa Vijana waliopo mle tayari, ni bora nafasi hii angepewa Nape au Makamba Junior;

Kama wakuu wa chama walikuwa serious waliposema wanaunda timu ya ushindi kuelekea 2015, nadhani likija suala la kura za vijana, timu hii inaelekea zaidi kuwa timu ya kifo cha chama, sio ushindi, kwani hoja mbovu mbovu za nchemba zitakimbiza vijana wengi zaidi kutoka CCM; CCM isidanganyike na umati mkubwa wa vijana huko vijijini kwenye mikutano yake tena nyakati za kazi kwani umati huu huwa ni mkubwa kwa sababu vijana hawana kazi; Kwahiyo mara nyingine huwa ni outing kwenda kusikiliza vituko vya wanasiasa makujwaani;

Kwa kweli inasikitisha kugundua kwamba utumbo aliokuwa anaufanya Nchemba ambao umekuwa unatufukuzia vijana wengi kutoka CCM, utumbo huu huu umempatia madaraka zaidi ndani ya Chama; Nchemba Naibu wa Kinana? Nani alifanya uamuzi huu? Kweli kazi ipo na ndio maana awali nilisema kwamba mabadiliko yaliyotokea kwenye mwili huu wa CCM ni ya KICHWA, lakini SHINGO ambayo ndio hugeuza kichwa kulia na kushoto imebakia kuwa ni ile ile;
 
ukimtoa Nape, walobakia wote, Eddo ana-influence, which shows kuna zaidi ya 75% ya Eddo kuingia ikulu 2015

Kweli sasa uchambuzi wa JF unakwenda arijojo!! yaani wewe umeshaona jina la EL limeshapita CC,LIMEPITA NEC n WANANCHI WAMEMPA USHINDI WA 75% !!bila kigezo kingine.incredible! shule za kata at work.
 
Uteuzi wa Nchemba kuwa Naibu Katibu Mkuu umeniacha hoi; Sielewi CCM huwa wanatumia performance indicators gani kumpandisha mtu cheo; Naibu katibu Mkuu wa Chama ni mtu mzito sana na Nchemba ni mtu mwepesi sana kubeba uzito huu; Iwapo CCM ilitaka Kijana ashike nafasi hii na atoke miongoni mwa Vijana waliopo mle tayari, ni bora nafasi hii angepewa Nape au Makamba Junior;

Kama wakuu wa chama walikuwa serious waliposema wanaunda timu ya ushindi kuelekea 2015, nadhani likija suala la kura za vijana, timu hii inaelekea zaidi kuwa timu ya kifo cha chama, sio ushindi, kwani hoja mbovu mbovu za nchemba zitakimbiza vijana wengi zaidi kutoka CCM; CCM isidanganyike na umati mkubwa wa vijana huko vijijini kwenye mikutano yake tena nyakati za kazi kwani umati huu huwa ni mkubwa kwa sababu vijana hawana kazi; Kwahiyo mara nyingine huwa ni outing kwenda kusikiliza vituko vya wanasiasa makujwaani;

Kwa kweli inasikitisha kugundua kwamba utumbo aliokuwa anaufanya Nchemba ambao umekuwa unatufukuzia vijana wengi kutoka CCM, utumbo huu huu umempatia madaraka zaidi ndani ya Chama; Nchemba Naibu wa Kinana? Nani alifanya uamuzi huu? Kweli kazi ipo na ndio maana awali nilisema kwamba mabadiliko yaliyotokea kwenye mwili huu wa CCM ni ya KICHWA, lakini SHINGO ambayo ndio hugeuza kichwa kulia na kushoto imebakia kuwa ni ile ile;

Kwa kweli khs kumu-undermine Mwigulu namna hiyo nafikiri unakosea sana, umechambua vizuri ila hapo umekosea sana kwa sababu huyo bwana anachukiwa na upinzani kwa ajili ya kuwapa vidonge vyao sio kila mtu anaona Mwigulu anaongea pumba, kawasome vizuri wapiga kura kaka.
 
Uteuzi wa Nchemba kuwa Naibu Katibu Mkuu umeniacha hoi; Sielewi CCM huwa wanatumia performance indicators gani kumpandisha mtu cheo; Naibu katibu Mkuu wa Chama ni mtu mzito sana na Nchemba ni mtu mwepesi sana kubeba uzito huu; Iwapo CCM ilitaka Kijana ashike nafasi hii na atoke miongoni mwa Vijana waliopo mle tayari, ni bora nafasi hii angepewa Nape au Makamba Junior;

Kama wakuu wa chama walikuwa serious waliposema wanaunda timu ya ushindi kuelekea 2015, nadhani likija suala la kura za vijana, timu hii inaelekea zaidi kuwa timu ya kifo cha chama, sio ushindi, kwani hoja mbovu mbovu za nchemba zitakimbiza vijana wengi zaidi kutoka CCM; CCM isidanganyike na umati mkubwa wa vijana huko vijijini kwenye mikutano yake tena nyakati za kazi kwani umati huu huwa ni mkubwa kwa sababu vijana hawana kazi; Kwahiyo mara nyingine huwa ni outing kwenda kusikiliza vituko vya wanasiasa makujwaani;

Kwa kweli inasikitisha kugundua kwamba utumbo aliokuwa anaufanya Nchemba ambao umekuwa unatufukuzia vijana wengi kutoka CCM, utumbo huu huu umempatia madaraka zaidi ndani ya Chama; Nchemba Naibu wa Kinana? Nani alifanya uamuzi huu? Kweli kazi ipo na ndio maana awali nilisema kwamba mabadiliko yaliyotokea kwenye mwili huu wa CCM ni ya KICHWA, lakini SHINGO ambayo ndio hugeuza kichwa kulia na kushoto imebakia kuwa ni ile ile;
We unamjua kinana unamsikia?subiri uone hao kina Nchemba wako watakavyonyooka,ukweli ni kwamba that was too big for mukama ndio maana ukaona kila mtu akawa mkubwa kwenye sekretariet iliyopita,kuhusu januari kwamba angefaa kuwa naibu katibu wa ccm bara huo ni utani sasa,Januari huyu aliejiunga na ccm mwaka 2004 mwishoni yani awe katibu wa ccm wakati kuna watu wamesota na chama toka enzi za kukimbiza mwenge wa uhuru,wamekimbiza sana mwenge yeye katoka marekani kaja foreign affairs jk kambeba akamsaidie kuandika kwenye kampeni na kubuni slogan isiyotekelezeka ya ari mpya,nguvu mpya,kasi mpya basi itoshe kuwa katibu wa chama bara!
 
ukimtoa Nape, walobakia wote, Eddo ana-influence, which shows kuna zaidi ya 75% ya Eddo kuingia ikulu 2015
Nani mtu wa lowassa hapo labda wewe unavyodhani?watu wa lowassa wanajulikana na watu wabaya kwa lowassa wanajulikana,ni rahisi kujua serukamba,hamis mngeja,chenge na aina hiyo ni watu wake lakini huwezi kudhani seif hatib,migiro,mwigulu na katibu mkuu eti ni watu wa lowassa,hasa katibu mkuu.
 
Nani mtu wa lowassa hapo labda wewe unavyodhani?watu wa lowassa wanajulikana na watu wabaya kwa lowassa wanajulikana,ni rahisi kujua serukamba,hamis mngeja,chenge na aina hiyo ni watu wake lakini huwezi kudhani seif hatib,migiro,mwigulu na katibu mkuu eti ni watu wa lowassa,hasa katibu mkuu.

Huyu Lowasa ni nani ktk nchi hii, kwa nini mna mwogopa kiasi hicho? Utakuta kila mleta mada Lowasa,lowasa,lowasa
 
We unamjua kinana unamsikia?subiri uone hao kina Nchemba wako watakavyonyooka,ukweli ni kwamba that was too big for mukama ndio maana ukaona kila mtu akawa mkubwa kwenye sekretariet iliyopita,kuhusu januari kwamba angefaa kuwa naibu katibu wa ccm bara huo ni utani sasa,Januari huyu aliejiunga na ccm mwaka 2004 mwishoni yani awe katibu wa ccm wakati kuna watu wamesota na chama toka enzi za kukimbiza mwenge wa uhuru,wamekimbiza sana mwenge yeye katoka marekani kaja foreign affairs jk kambeba akamsaidie kuandika kwenye kampeni na kubuni slogan isiyotekelezeka ya ari mpya,nguvu mpya,kasi mpya basi itoshe kuwa katibu wa chama bara!

Mkuu MCHAMBUZI nishabiki wa Makamba ndo maana juzi amesema anafaa hata kugombea uraisi as if sasa Ikulu ya TZ imekua sehemu ya kwenda kukuzia vijana.
 
Uteuzi wa Nchemba kuwa Naibu Katibu Mkuu umeniacha hoi; Sielewi CCM huwa wanatumia performance indicators gani kumpandisha mtu cheo; Naibu katibu Mkuu wa Chama ni mtu mzito sana na Nchemba ni mtu mwepesi sana kubeba uzito huu; Iwapo CCM ilitaka Kijana ashike nafasi hii na atoke miongoni mwa Vijana waliopo mle tayari, ni bora nafasi hii angepewa Nape au Makamba Junior;

Kama wakuu wa chama walikuwa serious waliposema wanaunda timu ya ushindi kuelekea 2015, nadhani likija suala la kura za vijana, timu hii inaelekea zaidi kuwa timu ya kifo cha chama, sio ushindi, kwani hoja mbovu mbovu za nchemba zitakimbiza vijana wengi zaidi kutoka CCM; CCM isidanganyike na umati mkubwa wa vijana huko vijijini kwenye mikutano yake tena nyakati za kazi kwani umati huu huwa ni mkubwa kwa sababu vijana hawana kazi; Kwahiyo mara nyingine huwa ni outing kwenda kusikiliza vituko vya wanasiasa makujwaani;

Kwa kweli inasikitisha kugundua kwamba utumbo aliokuwa anaufanya Nchemba ambao umekuwa unatufukuzia vijana wengi kutoka CCM, utumbo huu huu umempatia madaraka zaidi ndani ya Chama; Nchemba Naibu wa Kinana? Nani alifanya uamuzi huu? Kweli kazi ipo na ndio maana awali nilisema kwamba mabadiliko yaliyotokea kwenye mwili huu wa CCM ni ya KICHWA, lakini SHINGO ambayo ndio hugeuza kichwa kulia na kushoto imebakia kuwa ni ile ile;

jf na wanacdm ndo wamechangia kupanda chati kwa kijana mwigulu.ilikua ni kumsema daily,kumbe ndio wanamfagilia.
Na hiyo ilitokana na uchaguzi wa igunga na peformance yake kwenye bunge la bajeti iliyowafanya cdm wamchukie kwelikweli.
 
Kwa kweli khs kumu-undermine Mwigulu namna hiyo nafikiri unakosea sana, umechambua vizuri ila hapo umekosea sana kwa sababu huyo bwana anachukiwa na upinzani kwa ajili ya kuwapa vidonge vyao sio kila mtu anaona Mwigulu anaongea pumba, kawasome vizuri wapiga kura kaka.
Mkuu wewe ndio umekosea sana.
Hivi mwigulu ana uwezo kweli kujenga Hoja za kumvutia kijana aliyechoka na CCM?
Try to think twice.

Unataka kusema amepewa nafasi hiyo kwa sababu anatoa ''Vidonge'' kwa wapinzani?

Kama sababu ni hivyo ''Vidonge'' mbona Lusinde, Yusuph Makamba, Wasira hawako kwenye Secretariety?
 
Kwa kweli khs kumu-undermine Mwigulu namna hiyo nafikiri unakosea sana, umechambua vizuri ila hapo umekosea sana kwa sababu huyo bwana anachukiwa na upinzani kwa ajili ya kuwapa vidonge vyao sio kila mtu anaona Mwigulu anaongea pumba, kawasome vizuri wapiga kura kaka.
Mkuu si unajua hivyo vidonge ndio vime iko-cost sana CCM mpaka kupoteza ushindi kule Arumeru Mashariki kisha matokeo ya Igunga kutenguliwa.

So why they need such kind of person again?

Siku hizi CCM hawataki kutengeneza hoja bali wanataka kutoa ''vidonge''?
 
JK alisema vijana ni wengi sana walioingia NEC. Je katika hii Sekretarieti, vijana wako wangapi?
 
Edo Edo Edo Edo ...... vichwa vya nazi kujadili fisadi lililokubuhu katika utumishi wa umma. What significant acheivements can he bring in our country more than increasing grand corruptions and damaging the future of this nation? Where and when did he proved to be the best candidate in the CCM if you guys are not part of the corrupt tanzanians who does not wish the best to prevail in the future generation of our people. Records exist which shows that, from his early age after college was employed as public servant, how comes he demonstrates such huge accumulated wealth? when and how did he dedicated his time as business man to earn such a wealth if he neither plundered public funds nor used public office for personal gains?

Lets discuss possibility of getting right people for the presidency who have demonstarted high integrity in the public service of our country and stop this EDO thing out. He has no clean hands for the majority of Tanzanians but he has clean hands for very few of Tanzanians who are the beneficiary of his mis conducts.
 
Uteuzi wa Nchemba kuwa Naibu Katibu Mkuu umeniacha hoi; Sielewi CCM huwa wanatumia performance indicators gani kumpandisha mtu cheo; Naibu katibu Mkuu wa Chama ni mtu mzito sana na Nchemba ni mtu mwepesi sana kubeba uzito huu; Iwapo CCM ilitaka Kijana ashike nafasi hii na atoke miongoni mwa Vijana waliopo mle tayari, ni bora nafasi hii angepewa Nape au Makamba Junior;

Kama wakuu wa chama walikuwa serious waliposema wanaunda timu ya ushindi kuelekea 2015, nadhani likija suala la kura za vijana, timu hii inaelekea zaidi kuwa timu ya kifo cha chama, sio ushindi, kwani hoja mbovu mbovu za nchemba zitakimbiza vijana wengi zaidi kutoka CCM; CCM isidanganyike na umati mkubwa wa vijana huko vijijini kwenye mikutano yake tena nyakati za kazi kwani umati huu huwa ni mkubwa kwa sababu vijana hawana kazi; Kwahiyo mara nyingine huwa ni outing kwenda kusikiliza vituko vya wanasiasa makujwaani;

Kwa kweli inasikitisha kugundua kwamba utumbo aliokuwa anaufanya Nchemba ambao umekuwa unatufukuzia vijana wengi kutoka CCM, utumbo huu huu umempatia madaraka zaidi ndani ya Chama; Nchemba Naibu wa Kinana? Nani alifanya uamuzi huu? Kweli kazi ipo na ndio maana awali nilisema kwamba mabadiliko yaliyotokea kwenye mwili huu wa CCM ni ya KICHWA, lakini SHINGO ambayo ndio hugeuza kichwa kulia na kushoto imebakia kuwa ni ile ile;

Mchambuzi: Maelezo yako ni so objective and inspring! Yote tisa, kweli Mwigulu mjaa matusi ya nguoni amepwa cheo kikubwa hivyo ndani ya CCM? CCM inawawapelekea ujumbe gani vijana, watoto na wajukuu zetu kuhusu maadili kupitia Mwigulu? Nimechoka kabisa.

By the way may I ask you a couple of questions just out of curiosity. Kinana imekuwaje amerudi kwenye siasa wakati alishaaga? Je Mzee Man'gula hatachoshwa sana na hizi siasa za makundi ndani ya CCM ambazo Mwenyekiti ameshindwa kuzimaliza kwa takribani miaka saba baada ya kubwagwa Ukatibu Mkuu mara baada ya uchaguzi mkuu wa 2005? Is this not sheer manipulation taking advantage of the humble and wise old man into a messy situation created by a sect of selfish and incompetent ruling clique? Can he really untangle the numerous complicated knots?
 
Back
Top Bottom