Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,234
Waungwana mara nyingi wasanii wanapolalamika dhidi clouds media wengi wao huwa wanamlalamikia Ruge Mutahaba na kumchora kama mtu mbaya na anayewanyonya wasanii. Wengine wameenda mbali zaidi na kusema Ruge ndiye muasisi wa mifumo yote mibovu na ya kinyonyaji iliyopo katika muziki. Rejea Sugu na vinega wake nakadhalika.
Nimejaribu kusoma wosia wa aliowahi kuuandika Lady Jaydee mwaka 2013 kuhusu mgogoro wake na clouds media nikakutana na maneno haya hapa.
"Kila siku mnamsingizia Ruge peke yake Kusaga ni mfitini kuliko hata huyo Ruge, watu hamjui tu.
Mtu hela zote hizo bado shillingi mbili ya Jide inakuuma??
Roho gani hiyo??"
Hapa Lady Jaydee alitaka kusema Kusaga ni mtu mbaya kuliko Ruge? Je Kusaga alimfanyia kitu gani Lady Jaydee hadi akafikia hatua ya kuona bora Ruge kuliko Kusaga?
Nimejaribu kusoma wosia wa aliowahi kuuandika Lady Jaydee mwaka 2013 kuhusu mgogoro wake na clouds media nikakutana na maneno haya hapa.
"Kila siku mnamsingizia Ruge peke yake Kusaga ni mfitini kuliko hata huyo Ruge, watu hamjui tu.
Mtu hela zote hizo bado shillingi mbili ya Jide inakuuma??
Roho gani hiyo??"
Hapa Lady Jaydee alitaka kusema Kusaga ni mtu mbaya kuliko Ruge? Je Kusaga alimfanyia kitu gani Lady Jaydee hadi akafikia hatua ya kuona bora Ruge kuliko Kusaga?