Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,980
- 831,550
Yeah, sema nini! mategemeo yetu tumeweka zaidi kwenye sanduku la kura, mengine tumewaachia magamba ikiwemo la push ups!
CCM wanatugilibu kwa kununua kadi za Wapinzani na kujirudishia wenyewe ili kughilibu watu kuwa wanachama wanaondoka.
Ni vyema basi UKAWA ikawajibu wa vitu original.
Tunahitaji kuijenga upya ccm tuirudishe kwenye maadili,kwahiyo kard zetu hatuwapi ila kura tutampa lowasa,kiongozi tulio mkubali toka akiwa huku,
picha ya kumbukumbu borahii collabo ya lowassa na sumaye deserves grammy, ingekuwa ni ngoma ingeuza platinum tano!
hii collabo ya lowassa na sumaye deserves grammy, ingekuwa ni ngoma ingeuza platinum tano!